Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Kama kuna kosa amewahi kufanya Rais Samia na linaweza kuja kumgharimu Big time ni kumuamini huyu nyoka aliyekuwa kiongozi wa kundi la watu fulani waliokuwa wakitumika kwa mlengo wa kikundi fulani( Jina linafahamika)
Mengi yalisemwa kunusu huyu mtu ila kuu ni kuwa huyu mtu ni muumini mtiifu sana wa lile kundi ambalo bado linaamini lenyewe ndo lenye hatma ya Tanzania na linataka kuongoza Tanzania kwa maslahi yako na wala sio maslahi ya Tanzania
Ukiangalia tangu alivyopewa nafasi ya kisiasa chamani anachofanya ni kujibrand mwenyewe na wala sio chama wala kiongozi wa chama kama alivyotegemea
Matangazo mengi anayoyatoa, picha anazopiga kwa mtu mwenye akili unayelielewa lile kundi unagundua kabisa ni za kujijenga yeye kwa maslahi ya lile kundi lake.
Maneno anayotamka ni kama kuwaamsha wafuasi wa lile kundi ambalo kwa kiasi kikubwa walikuwa wanalijenga kundi lao na sio utengamano wa Taifa kwa maslahi ya Taifa.
Wengi tulisema na sasa tunasema tena. Rais wetu Samia, nyoka ni nyoka, kamwe akaribishwi chumbani..
Taasisi nyeti iliikoa nchi yetu kuingia kwenye siasa za Rwanda na Burundi kwa kumuondoa huyu mtu. Sasa umemrudisha. Kama hujashtuka utapata majibu soon!
Mengi yalisemwa kunusu huyu mtu ila kuu ni kuwa huyu mtu ni muumini mtiifu sana wa lile kundi ambalo bado linaamini lenyewe ndo lenye hatma ya Tanzania na linataka kuongoza Tanzania kwa maslahi yako na wala sio maslahi ya Tanzania
Ukiangalia tangu alivyopewa nafasi ya kisiasa chamani anachofanya ni kujibrand mwenyewe na wala sio chama wala kiongozi wa chama kama alivyotegemea
Matangazo mengi anayoyatoa, picha anazopiga kwa mtu mwenye akili unayelielewa lile kundi unagundua kabisa ni za kujijenga yeye kwa maslahi ya lile kundi lake.
Maneno anayotamka ni kama kuwaamsha wafuasi wa lile kundi ambalo kwa kiasi kikubwa walikuwa wanalijenga kundi lao na sio utengamano wa Taifa kwa maslahi ya Taifa.
Wengi tulisema na sasa tunasema tena. Rais wetu Samia, nyoka ni nyoka, kamwe akaribishwi chumbani..
Taasisi nyeti iliikoa nchi yetu kuingia kwenye siasa za Rwanda na Burundi kwa kumuondoa huyu mtu. Sasa umemrudisha. Kama hujashtuka utapata majibu soon!