Tunapoelekea siyo pazuri

Tunapoelekea siyo pazuri

Badala ya wewe kuongeza juhudi za kufanya kazi unasema serikali ichukue hatua! Tangu lini serikali ikakuwekea mafuta kwenye gari lako. Huna uwezo basi li pack utumie dala dala.
Haya ndio mawazo ya watanzania wemgi.. Duuu ndo nyinyi mnataka kwenda kuwa na uchumi wa kati kwa mawazo haya. Mwenyezi mungu mbariki mh raisi kwa kuwa na akili kubwa lkn wapambe wake zero brain
 
Badala ya wewe kuongeza juhudi za kufanya kazi unasema serikali ichukue hatua! Tangu lini serikali ikakuwekea mafuta kwenye gari lako. Huna uwezo basi li pack utumie dala dala.
Nilivyoelewa mimi siyo kuwa anataka serikali imwekee mafuta bali anashangaa bei ya mafuta ilivyopanda kwa kasi....na huenda ana duka la bidhaa lkn lilifungwa na TRA kwa kodi kuwa kubwa na kushindwa kuimudu. Mtaji nao alikopa bank hivyo nyumba ya kuishi ipo sokoni inauzwa na bank.....WAAFRIKA HATUNA KAULI MOJA NDIYO MAANA TUNATAWALIWA HADI LEO.
 
Jiwe nchi imemshinda. Hadi itakapofika 2020 tutaimba wimbo mmoja. Atakuwa amebaki yeye na mpiga zumari wake Bashite upande mmoja na watanzania upande mwengine.
 
Leo nimefika kwenye kituo cha mafuta kuweka mafuta gari langu duuh sikuamini macho yangu. Lita moja ya dizeli nimekuta ni Tshs.2586. Pili nimeenda Benki kuulizia bei ya dollar ya Kimarekani duuh nikakuta dollar moja ni 2350. Nikajiuliza kweli hii ni Tanzania au nimekosea. Kwa kweli tunapoenda siyo pazuri. Serikali chukueni hatua za haraka. Nadhani kuna tatizo mahala fulani. Kweli hii ndiyo Tanzania.
Fanya kazi mkuu mambo ya kuzunguka mtaani kuulizia bei za dollars cjui petrol ni ujinga
 
Nchi iko vizuri inadonga mbere watanzania tembeeni vifua mberee. Hi ndiyo laiti daileksheni ninayo itaka. Tuko katoka lait tlaki!
 
Leo nimefika kwenye kituo cha mafuta kuweka mafuta gari langu duuh sikuamini macho yangu. Lita moja ya dizeli nimekuta ni Tshs.2586. Pili nimeenda Benki kuulizia bei ya dollar ya Kimarekani duuh nikakuta dollar moja ni 2350. Nikajiuliza kweli hii ni Tanzania au nimekosea. Kwa kweli tunapoenda siyo pazuri. Serikali chukueni hatua za haraka. Nadhani kuna tatizo mahala fulani. Kweli hii ndiyo Tanzania.

Hii ni Tanzania na Srikali ya MAGUFULI imo Kwene ZE LAITI TRAKI......!!!!
Ila ukweli ni kwamba THE ECONOMY IS GOING TO CRUSH!
Tunakwenda kuwa kama ZIMBWABWE ya MZEE MUGABE.....Ni swala la muda tu......!!!!!
 
Badala ya wewe kuongeza juhudi za kufanya kazi unasema serikali ichukue hatua! Tangu lini serikali ikakuwekea mafuta kwenye gari lako. Huna uwezo basi li pack utumie dala dala.
Sasa kama hakufanya kazi kwa juhudi angewezaje kununua gari na kwenda kituo cha mafuta kujaza mafuta? Soma vizuri hajasema ameshindwa kununua mafuta na hajasema serikali imnunulie mafuta. Unaelewa maana ya inflation? Hujui hiyo itamwathiri kila mwananchi mpaka marehemu?
 
Badala ya wewe kuongeza juhudi za kufanya kazi unasema serikali ichukue hatua! Tangu lini serikali ikakuwekea mafuta kwenye gari lako. Huna uwezo basi li pack utumie dala dala.
Watu kama wewe mnastahili kuuliwa kikatili kama nyoka,yeye ndo kapandisha bei ya dola na mafuta?
Mkosi uliopo ikulu utaigharimu hii nchi,shetani kaishika Tanzania pabaya mno,yaani hustahili kabisa kuishi wewe
 
Unajua mwaka 2010 dola ilikuwa kiasi gani kwa shilingi? Fluctuation ya dola hutegemea mambo mengi na siyo uamuzi wa serikali kuwa ipande au ishuke. Tujitahidi kufanya kazi kwa bidii.
BOT na ikulu zinatumiwa na mtu yeyote?
Ama kweli ccm kumejazana takataka tupu
 
Tajiri hawezi Ishi kama shetani anaexposure ya kuhifadhi kwa Jirani waonyongwe tutanyongwa hasa hadi tuimbe wimbo wa MUSSA
Hahahhaha, mkuu wimbo wa mussa ??

Hii so itakuwa mwisho wa dunia
 
Leo nimefika kwenye kituo cha mafuta kuweka mafuta gari langu duuh sikuamini macho yangu. Lita moja ya dizeli nimekuta ni Tshs.2586. Pili nimeenda Benki kuulizia bei ya dollar ya Kimarekani duuh nikakuta dollar moja ni 2350. Nikajiuliza kweli hii ni Tanzania au nimekosea. Kwa kweli tunapoenda siyo pazuri. Serikali chukueni hatua za haraka. Nadhani kuna tatizo mahala fulani. Kweli hii ndiyo Tanzania.
Hata hapa tulipo si pazuri
 
Badala ya wewe kuongeza juhudi za kufanya kazi unasema serikali ichukue hatua! Tangu lini serikali ikakuwekea mafuta kwenye gari lako. Huna uwezo basi li pack utumie dala dala.
Lol...hi ni akili ya mtu mzima kweli??
Yaani unamtaka huyu ndo adhibiti kuporomoka kwa shilingi..!! Unamtaka mwananchi adhibiti bei ya mafuta...!!

Hapana jamani ushabiki mwingine hautusaidii
 
Lol...hi ni akili ya mtu mzima kweli??
Yaani unamtaka huyu ndo adhibiti kuporomoka kwa shilingi..!! Unamtaka mwananchi adhibiti bei ya mafuta...!!

Hapana jamani ushabiki mwingine hautusaidii
Yes. Kama hawezi basi aache kulalamika. Kina Kibajaji na Msukuma ni nani amewapeleka bungeni kama siyo sisi?
 
Tulikubaliana kuwa tutaishi kama mashetani sasa malalamiko ya nini ?
 
Kenya $1= KE103 hapa kwetu $1= Tshs.2350. 1KE= Tshs. 25. Tunaenda wapi.
 
Back
Top Bottom