Pole sana mimi huko hata siadhiriki pole yako wewe ambae ndie unaelalamika
Sawa...Usipoelewa leo utaelewa kesho mtanzania mwenzangu
Tulikubali kua tutasoma namba, sasa tunazisoma tatizo lini wapi?
Toka kwa shemeji jitegemee uje uandikeSema wewe na kizazi chako mnako elekea ni kubaya sana walahi
Unajua mwaka 2010 dola ilikuwa kiasi gani kwa shilingi? Fluctuation ya dola hutegemea mambo mengi na siyo uamuzi wa serikali kuwa ipande au ishuke. Tujitahidi kufanya kazi kwa bidii.
Msomaji namba na msomeshaji namba, kwa pamoja wanasoma namba, kwa hiyo naona lengo kimefikiwa so malalamiko hayatakiwi .periodKanuni ya no ni msoma namba na mgawa namba lzm wote waisome,cause and effect.
Membe would had done better, Lowasa the best.
Tajiri hawezi Ishi kama shetani anaexposure ya kuhifadhi kwa Jirani waonyongwe tutanyongwa hasa hadi tuimbe wimbo wa MUSSAHii ndio serikali ya wanyonge , na matajiri wataishi Kama mashetani
Hahaha nina kazi yangu swafi, pesa swafi ndio maana silalamiki hapa. Nimejarib ku highlight anacho maanisha mchizi hapa.Unajua mwaka 2010 dola ilikuwa kiasi gani kwa shilingi? Fluctuation ya dola hutegemea mambo mengi na siyo uamuzi wa serikali kuwa ipande au ishuke. Tujitahidi kufanya kazi kwa bidii.
hiv ww hua una shida gan kichwan kwako...mbona unaboa hvyo?kisa unaishi kwa shemej bas akili hazikui..hebu jaribu kuwa mstaarabu muda mwingine unadhan wote tunaishi kwa mashemej?stupidSema wewe na kizazi chako mnako elekea ni kubaya sana walahi
😂😂😂😂😂😂saluteHatua za haraka zinazoweza kuchukuliwa na serikali hii ili kuzuia shilingi yetu kushuka thamani ni Bashiru kumuita Membe. Membe huyu anaporomosha thamani ya shilingi yetu.
Hahaha..... Wafia serekalee ya kijanee mna mbwembwee...Badala ya wewe kuongeza juhudi za kufanya kazi unasema serikali ichukue hatua! Tangu lini serikali ikakuwekea mafuta kwenye gari lako. Huna uwezo basi li pack utumie dala dala.


Hata nauli ya daladala wengine hawana hiyo dola wanaisikia tu ikitamkwa kwenye tv habari za biashara hata hawajui ipoje.Shukuru mungu una hela tena dolar kabisa kuna wenzio hata hiyo rangi ya dolar hawajui ina fananaje