Nimegundua sio hujui tu unachoandika. ila hutak kujifunza jambo.baki na ujinga wako magu ndo anawapenda sana nyinyiUnajua mwaka 2010 dola ilikuwa kiasi gani kwa shilingi? Fluctuation ya dola hutegemea mambo mengi na siyo uamuzi wa serikali kuwa ipande au ishuke. Tujitahidi kufanya kazi kwa bidii.