Mtapima wenyewe. Kanuni ya maumbile ni moja tu. Kilo 1 ya karatasi ni sawa na Kilo 1 ya chuma.
Awamu ya Nne v/s Awamu ya Tano
i. Kuweka mazingira ya uwekezaji kuwa ya kuvutia v/s Kuweka mazingira ya udhibiti zaidi
ii. Kuwepo Demokrasia kwa kiasi fulani v/s Kudhibiti Demokrasia
iii. Kuwepo uwazi kiasi fulani kuhusu sheria, mikataba n.k v/s Kubana Uwazi na mikataba.
iv. Sheria kutoa mianya fulani v/s Sheria kubana na kulalamikiwa
v. Kuwepo kiasi fulani cha uzembe serikalini. v/s Uzembe kupungua na kuongezeka hofu serikalini.
vi. Kukaribisha zaidi mafungamano ya kimataifa. v/s kuondoa baadhi ya mafungamano ya kimataifa
vii. Diplomasia katika utatuzi wa changamoto. v/s Ubabe na lugha zisizofaa katika utatuzi wa changamoto.
viii. Nidhamu hafifu ya kazi na kuwajibika v/s Nidhamu ya uoga na hofu.
ix. Siasa za majadiliano na hoja v/s Siasa za kulazimisha na kuteza.
x. Mijadala na uvumilivu katika kukosoana v/s Amri na vitisho, kukosa uvumilivu wa kukosoana kwa hoja.
xi. Sekta binafsi kupewa kipaumbele v/s Serikali kudhibiti baadhi ya shughuli.
xii. Dhana ya mwenye uwezo kumiliki v/s Dhana ya wazawa kumiliki.(Upendeleo kwa wazawa)
xiii. Dhana ya Ushirikishwaji v/s Dhana ya umiliki wa kidola.
xiv. Mzunguko wa kifedha na fursa za uchumi. v/s Kubana fedha na fursa, kushamiri mfumo dola.
xv. Furaha na umoja ndani ya Mfumo wa kifisadi. v/s Kuwepo chuki na uhasama katika mfumo mpya wa kifisadi (New Corr)
xvi. Viashiria vya umoja wa kitaifa v/s Viashiria vya kuvunjika umoja wa kitaifa, Chuki na Hasira
Nimejaribu kuweka hizo, zipo nyengine nyingi kwa namna ambayo msomaji anaweza kuweka anavyoona inafaa.
Legacy ziko nyingi, Lakini awamu hizi zinaweza kupimwa kwa namna nyingi.
Kwa upande wangu. Kilo 1 ya karatasi = kilo 1 ya Chuma.
Tunahitaji Katiba Mpya.
Kishada.
Awamu ya Nne v/s Awamu ya Tano
i. Kuweka mazingira ya uwekezaji kuwa ya kuvutia v/s Kuweka mazingira ya udhibiti zaidi
ii. Kuwepo Demokrasia kwa kiasi fulani v/s Kudhibiti Demokrasia
iii. Kuwepo uwazi kiasi fulani kuhusu sheria, mikataba n.k v/s Kubana Uwazi na mikataba.
iv. Sheria kutoa mianya fulani v/s Sheria kubana na kulalamikiwa
v. Kuwepo kiasi fulani cha uzembe serikalini. v/s Uzembe kupungua na kuongezeka hofu serikalini.
vi. Kukaribisha zaidi mafungamano ya kimataifa. v/s kuondoa baadhi ya mafungamano ya kimataifa
vii. Diplomasia katika utatuzi wa changamoto. v/s Ubabe na lugha zisizofaa katika utatuzi wa changamoto.
viii. Nidhamu hafifu ya kazi na kuwajibika v/s Nidhamu ya uoga na hofu.
ix. Siasa za majadiliano na hoja v/s Siasa za kulazimisha na kuteza.
x. Mijadala na uvumilivu katika kukosoana v/s Amri na vitisho, kukosa uvumilivu wa kukosoana kwa hoja.
xi. Sekta binafsi kupewa kipaumbele v/s Serikali kudhibiti baadhi ya shughuli.
xii. Dhana ya mwenye uwezo kumiliki v/s Dhana ya wazawa kumiliki.(Upendeleo kwa wazawa)
xiii. Dhana ya Ushirikishwaji v/s Dhana ya umiliki wa kidola.
xiv. Mzunguko wa kifedha na fursa za uchumi. v/s Kubana fedha na fursa, kushamiri mfumo dola.
xv. Furaha na umoja ndani ya Mfumo wa kifisadi. v/s Kuwepo chuki na uhasama katika mfumo mpya wa kifisadi (New Corr)
xvi. Viashiria vya umoja wa kitaifa v/s Viashiria vya kuvunjika umoja wa kitaifa, Chuki na Hasira
Nimejaribu kuweka hizo, zipo nyengine nyingi kwa namna ambayo msomaji anaweza kuweka anavyoona inafaa.
Legacy ziko nyingi, Lakini awamu hizi zinaweza kupimwa kwa namna nyingi.
Kwa upande wangu. Kilo 1 ya karatasi = kilo 1 ya Chuma.
Tunahitaji Katiba Mpya.
Kishada.