Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,553
- 40,754
Hahaha mmh naogopa
Tupe mrejesho! Amekuwowa???
Hahaha mmh naogopa
huwa anapenda kunikumbatia na kushika mikono Yangu tunapokuwa peke yetu na ninapokuwa kifuani kwake huwa anashidwa hata kuongea na moyo wake huwa kasi mm hujikuta nimelowa lakini naogopa kusema yy pia, naomba ushauri nifanyaje ajue nampenda maana nyege zinatuua
Ipi?Hebu fanya udadavuzi hapo miss neddymmmmmh subiri akwambie yeye vuta subira akianza yeye kufunguka ina raha yake
inashangaza sana hii....
kila siku vipya.....we acha tu duniani kuna vituko