Tunapendana ila tunaogopa kuambiana

Tunapendana ila tunaogopa kuambiana

Kha! Mmekumbatiana? Mnatunga beti za wimbo gani huo? Wallah shetani labda kama yuko likizo
 
Kanisa lenyewe katoliki. Hapo kweli mnapenda mambo ya dini. Nikwambie kitu, siku nyingine ukiwa hapo "kifuani" uliposema kuna siku unakuwaga hapo, badala ya kumpima hayo mapigo ya moyo, fanya ka kusahau uushushe mkono kuna kitu inaitwa flaisi chini ya mkanda wake, jifanye umesahau uishushe taratiiiiib, kama ukikuta pako kimyaaa kimbia huyo hakufai. Ukiosikia kitu ka kinatetema na kuwakigumugumu mwache mengine atafanya mwenyewe. Baadaye uende kwa baba paroko ukamwambie ulivyo jisikia vizuri vibaya

Hahahahaha daaah nimecheka kweli,... inaitwa nn? flaisi tena ipo chini ya mkanda....,thats real fantastic.

na akikuta kitu kiko kimya akimbie kufa duh.

mi naona huu ushauri uko vizuri,....dadaetu fata ushauri huu!!
 
Hakika kondoo wangu si kondoo tena bali wamekuwa mbweha yaani uko kanisani unaimba kwaya huku unawaza kugegedwa.Nyumba ya baba yangu imekuwa danguro la wazinzi .
 
Tumekuwa marafiki mda mrefu sasa kama miezi saba, kijana huyu amekuwa akinivutia sana hasa kwa tabia namuonekano wake yeye anasali kanisa katoliki pia ni mwana kwaya anamambo ya dini sana hivyo tukiwa peke yetu hata usiku huwa tunapiga story za dini tu na kusikiliza kwaya huwa anapenda kunikumbatia na kushika mikono Yangu tunapokuwa peke yetu na ninapokuwa kifuani kwake huwa anashidwa hata kuongea na moyo wake huwa kasi mm hujikuta nimelowa lakini naogopa kusema yy pia, naomba ushauri nifanyaje ajue nampenda maana nyege zinatuua

Subiri tu ila we mwache akawie majitu yakusarandie uone kazi!
 
Ukizidiwa,Mtonye.

Hizi ni zama za ukweli na uwazi.
 
Msiogopane! Fungeni mkikesha na kuomba ili mfunguliwe maono yenu!
 
Kanisa lenyewe katoliki. Hapo kweli mnapenda mambo ya dini. Nikwambie kitu, siku nyingine ukiwa hapo "kifuani" uliposema kuna siku unakuwaga hapo, badala ya kumpima hayo mapigo ya moyo, fanya ka kusahau uushushe mkono kuna kitu inaitwa flaisi chini ya mkanda wake, jifanye umesahau uishushe taratiiiiib, kama ukikuta pako kimyaaa kimbia huyo hakufai. Ukiosikia kitu ka kinatetema na kuwakigumugumu mwache mengine atafanya mwenyewe. Baadaye uende kwa baba paroko ukamwambie ulivyo jisikia vizuri vibaya

Hahaha mmh naogopa
 
Huyo kijana atakuwa bado bikira, ilishanitokea hii. Bila kulala kwake usiku kucha na kumfanyia mautundu ya kumtundikia miguu juu yake ili asipate usingizi kabla ya kukutimizia haja za moyo wako, utasubiri sana!
 
mmmmmh subiri akwambie yeye vuta subira akianza yeye kufunguka ina raha yake

Siyo 1+1=2 kila siku, ipo siku inakuwa 11 na wakati mwingine 1. Je, haikuandikwa kuwa mwana ataacha wazazi na kuungana na mme au mke na wote watakuwa mwili mmoja? Akisubiri ipo siku atajutia chance, kuna kitu kinakosewa! Wakati wamelaliana kifuani, ateremshe mkono kunako, akamate hiyo du... afu aone reaction ya mtu mzima!
 
Kanisa lenyewe katoliki. Hapo kweli mnapenda mambo ya dini. Nikwambie kitu, siku nyingine ukiwa hapo "kifuani" uliposema kuna siku unakuwaga hapo, badala ya kumpima hayo mapigo ya moyo, fanya ka kusahau uushushe mkono kuna kitu inaitwa flaisi chini ya mkanda wake, jifanye umesahau uishushe taratiiiiib, kama ukikuta pako kimyaaa kimbia huyo hakufai. Ukiosikia kitu ka kinatetema na kuwakigumugumu mwache mengine atafanya mwenyewe. Baadaye uende kwa baba paroko ukamwambie ulivyo jisikia vizuri vibaya

Kwiiiii
My ribs oooo
 
Siyo 1+1=2 kila siku, ipo siku inakuwa 11 na wakati mwingine 1. Je, haikuandikwa kuwa mwana ataacha wazazi na kuungana na mme au mke na wote watakuwa mwili mmoja? Akisubiri ipo siku atajutia chance, kuna kitu kinakosewa! Wakati wamelaliana kifuani, ateremshe mkono kunako, akamate hiyo du... afu aone reaction ya mtu mzima!

Merry christmass mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom