Tunapendana ila tunaogopa kuambiana

Tunapendana ila tunaogopa kuambiana

Tumekuwa marafiki mda mrefu sasa kama miezi saba, kijana huyu amekuwa akinivutia sana hasa kwa tabia namuonekano wake yeye anasali kanisa katoliki pia ni mwana kwaya anamambo ya dini sana hivyo tukiwa peke yetu hata usiku huwa tunapiga story za dini tu na kusikiliza kwaya huwa anapenda kunikumbatia na kushika mikono Yangu tunapokuwa peke yetu na ninapokuwa kifuani kwake huwa anashidwa hata kuongea na moyo wake huwa kasi mm hujikuta nimelowa lakini naogopa kusema yy pia, naomba ushauri nifanyaje ajue nampenda maana nyege zinatuua

Kama ni kwaya master andika manyoya maana ndo stail zao za kuomba mzigo hzo
Dada!
 
Njoo nikufundishe lkn ungeweka pch zenu ingesaidia san
 
Hmmmm!!!! Bahati yenu nyege hazijawaua tungekuwa tumeshawazika siku nyingi. Ukiwa kifuani kwake na maraha kibao wewe mpe denda ila kumbuka kutumia kinga badala ya kucheza peku peku na kupata ujauzito ambao utawaletea machungu kwenye maisha yenu.

Tumekuwa marafiki mda mrefu sasa kama miezi saba, kijana huyu amekuwa akinivutia sana hasa kwa tabia namuonekano wake yeye anasali kanisa katoliki pia ni mwana kwaya anamambo ya dini sana hivyo tukiwa peke yetu hata usiku huwa tunapiga story za dini tu na kusikiliza kwaya huwa anapenda kunikumbatia na kushika mikono Yangu tunapokuwa peke yetu na ninapokuwa kifuani kwake huwa anashidwa hata kuongea na moyo wake huwa kasi mm hujikuta nimelowa lakini naogopa kusema yy pia, naomba ushauri nifanyaje ajue nampenda maana nyege zinatuua
 
Tafuta rafiki yako akusadie kumwambia kma ww huwezi
Ipocku mnaweza jikuta mnazama afu baada ya hapo kila mtu akajutia na ndo ikawa mwsho wenu
 
Huo usiku mnaokumbatiana na kulaliana kifuani pekeenu mnakua wapi???

Na unajuaje kama ana mke au hana?
 
1. Mnaimba kwaya
2. Mnakutania kanisani akili zikiwa na matanio
3. Mna nyegeshana huku mnasikiliza nyimbo za dini

Mbona mnatenda mambo mawili yanayo pingana. Kanisa na kunyegeshana Wakati si wana ndoa!!

Bwana awarehemu kwakweli

kwii kwii kwiiii
 
Tumekuwa marafiki mda mrefu sasa kama miezi saba, kijana huyu amekuwa akinivutia sana hasa kwa tabia namuonekano wake yeye anasali kanisa katoliki pia ni mwana kwaya anamambo ya dini sana hivyo tukiwa peke yetu hata usiku huwa tunapiga story za dini tu na kusikiliza kwaya huwa anapenda kunikumbatia na kushika mikono Yangu tunapokuwa peke yetu na ninapokuwa kifuani kwake huwa anashidwa hata kuongea na moyo wake huwa kasi mm hujikuta nimelowa lakini naogopa kusema yy pia, naomba ushauri nifanyaje ajue nampenda maana nyege zinatuua

'Matendo yanaongea zaidi ya maneno' kwa kifupi kwa maelezo yako mmekwisha kubaliana kufanya ngono na wote mmeridhia. Sasa mkilaliana tena vifuani, mvue nguo zake moja baada ya nyingine taratibu, halafu toa na zako then mnapiga match. Eva alimpa Adam tunda la mti wa kati wakala nawe fanya hivyo ILA simaanishi tunda la mti wa kati ni ngono bali kwamba hata mwanamke anaweza kuanzisha. LAKINI mtambue kuwa ni dhambi ni heri mkafunga ndoa na kuchapana huku mkimpendeza Mungu!!

Kamuombe ushauri na Baba Paroko.
 
Jamaa anafikiri avatar yako ina reflect ulivyo 100%!!!!
 
nyimbo za kwaya zinawapaje nyege acheni uzinzi nyoe kondoo wa bwana.Kama mnapendana katambulishane kwenu mfunge ndoa lakin si mambo ya nyege na kwaya.

Nyimbo za kwaya mnazosikiliza kama zinawapa nyege je mkisikiliza nyimbo za Diamond si ndio mtabaka kuku na chura
 
mnalaliana vifuani na hamjagegedana??kweli kuna watu MNA moyo aisee,mi zamaaaaaaani ningeshatenda dhambi
 
nyimbo za kwaya zinawapaje nyege acheni uzinzi nyoe kondoo wa bwana.Kama mnapendana katambulishane kwenu mfunge ndoa lakin si mambo ya nyege na kwaya.

Nyimbo za kwaya mnazosikiliza kama zinawapa nyege je mkisikiliza nyimbo za Diamond si ndio mtabaka kuku na chura

Khaaa....!
 
Tumekuwa marafiki mda mrefu sasa kama miezi saba, kijana huyu amekuwa akinivutia sana hasa kwa tabia namuonekano wake yeye anasali kanisa katoliki pia ni mwana kwaya anamambo ya dini sana hivyo tukiwa peke yetu hata usiku huwa tunapiga story za dini tu na kusikiliza kwaya huwa anapenda kunikumbatia na kushika mikono Yangu tunapokuwa peke yetu na ninapokuwa kifuani kwake huwa anashidwa hata kuongea na moyo wake huwa kasi mm hujikuta nimelowa lakini naogopa kusema yy pia, naomba ushauri nifanyaje ajue nampenda maana nyege zinatuua
Basi mshaambiana kwa ishara, maana mnajua mnapendana. Kuna lugha za ishara pia...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom