hill and portion
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 1,236
- 744
Ndio tatizo la hii mikozi ya Computer
Mhhhhhh ina tatizo gan hiyo mikozi
Ndio tatizo la hii mikozi ya Computer
Ndio tatizo la hii mikozi ya Computer
Kama Jamaa anaona anaweza kusubiri, then mwacheni asubiri. Hamna haki ya kuingilia maamuzi yake.
Wana MMU,
Kwa niaba ya familia yetu, nimekuja kuomba ushauri wa kumahauri huyu ndugu yetu Kaka Mkubwa.
Kwa kifupi ni kaka yetu mkubwa ana miaka 37 bado hajaoa na wala hana mtoto, kiuchumi anajiweza kwa kiasi fulani.
Tatizo linakuja ana mchumba "mpenzi" wa miaka 19 na yupo kidato cha 5 na yeye ndio anasema chaguo lake ni hilo.
Kama familia tunaona hilo ni tatizo kwani Msichana alishamwambia asubiri mpaka amalize chuo kikuu ndio waanze mipango ya ndoa kisha kutengeneza Familia.
Kaka yetu kwa wazazi wa bint hajulikani "rasmi" ila bint kwetu familia inamfahamu. Tumejaribu kumshauri atafute bint ambaye yupo tayari kuanza maisha hata sasa kuliko kumsubiria huyu mwanafunzi amalize chuo ndio amuoe lakini imeshindikana yeye amesimamia msimamo wake ule ule anamsubiri bint amalize chuo.
Familia tunaona hilo ni tatizo hasa ukiangalia umri wake ni mkubwa ambao kwa mwingine angekuwa tayari ana familia anayoiendesha.
Wawo kupishana huo umri sisi hatuoni tatizo, tatizo tunaloliona ni kaka kupoteza muda wa kumsubiria bint, na mnajua wachumba wa siku hizi akishafika chuo tu.....kosa.
Bado tunaendelea kumshauri.
Nawe unamshauri nini?
Isidingo bado ipo? Last time naangalia, Inspector Leon Duplesis na Kyle bado walikuwepo. Kyle was my fav.Kwa maoni yangu huyo jamaa amefanywa kitega uchumi, baada ya hapo ni kibuti kwenda mbele.
Sijui kama ni shabiki wa ile tamthilia ya Isidingo, lakini kuna wakati msanii wao mmoja Rajesh (mtu mzima kidogo) alikuwa na uhusiano na binti wa miaka kama early 20s, mmoja wa rafiki zake akamuuliza 'unajua hata aina ya muziki anaopendelea?' Rajesh alipomuuliza yule binti akamtajia wanamuziki wa kizazi kipya ambao yeye hawajui.
Huu ni mfano tu lakini tafauti ya kiumri ikiwa kubwa basi hata zile interests zenu zinakuwa kama mbingu na ardhi.
Mugabe 91 years Mke wake ni 49years Kuna Variance ya 42 years binafsi huwa sion tofauti ya umri kama ni kigezo!
Ndio tatizo la hii mikozi ya Computer
acheni kumsisitiza kaka yenu aoe mwanamke mwingine wakati yeye yuko tayari kumsubiri huyo wa miaka 19,eti umri unaenda kwani yeye hajioni mpaka nyie mmwambie? kwani muoaji si yeye nyie kinawasumbua nini? embu jaribuni kuheshimu mawazo yake.
Wana MMU,
Kwa niaba ya familia yetu, nimekuja kuomba ushauri wa kumahauri huyu ndugu yetu Kaka Mkubwa.
Kwa kifupi ni kaka yetu mkubwa ana miaka 37 bado hajaoa na wala hana mtoto, kiuchumi anajiweza kwa kiasi fulani.
Tatizo linakuja ana mchumba "mpenzi" wa miaka 19 na yupo kidato cha 5 na yeye ndio anasema chaguo lake ni hilo.
Kama familia tunaona hilo ni tatizo kwani Msichana alishamwambia asubiri mpaka amalize chuo kikuu ndio waanze mipango ya ndoa kisha kutengeneza Familia.
Kaka yetu kwa wazazi wa bint hajulikani "rasmi" ila bint kwetu familia inamfahamu. Tumejaribu kumshauri atafute bint ambaye yupo tayari kuanza maisha hata sasa kuliko kumsubiria huyu mwanafunzi amalize chuo ndio amuoe lakini imeshindikana yeye amesimamia msimamo wake ule ule anamsubiri bint amalize chuo.
Familia tunaona hilo ni tatizo hasa ukiangalia umri wake ni mkubwa ambao kwa mwingine angekuwa tayari ana familia anayoiendesha.
Wawo kupishana huo umri sisi hatuoni tatizo, tatizo tunaloliona ni kaka kupoteza muda wa kumsubiria bint, na mnajua wachumba wa siku hizi akishafika chuo tu.....kosa.
Bado tunaendelea kumshauri.
Nawe unamshauri nini?