Tunaomba ushauri: Miaka 37 ana Mchumba wa miaka 19

Tunaomba ushauri: Miaka 37 ana Mchumba wa miaka 19

Mshaurini kisha mwacheni. Akilizwa anaweza ku date tena wa miaka 19 akipenda, tatizo lipo wapi. Anaupenda u senior bachelor, sio kila mwanaume anaweza kuwa mume!
 
nahisi hiki kisa kitaishia kama kisa kimoja cha jibaba moja lililokuja kumlilia classmate wangu nikiwa mwaka wa pili baada ya kupigwa kibuti huku likiwa limesubiri ndoa kwa haka katoto kabichi kwa miaka kama 6 hivi....

class mate amsaidiaje sasa?
 
Jombaa kaka yao na wahanga anajiweza kiasi kimaisha na kimaslahi.....ila Mugabe anajiweza sana kwa kila kitu....kwanza nchi ni yake na hao wanaume wa kumchukulia mkewe wapo chini yake......bosi wangu yeye alimtia mimba demu wake kakaa mpaka kajifungua ndo kaenda chuo.....

Mbona Unatoa siri zangu kukuajiri ndo imekua shida hujui kutunza hata siri
 
Yani huyo kuchapiwa na masharobaro ni kama kawaida, coz wakioana ni miili miwili tofauti na sio mwili mmoja tena
 
Back
Top Bottom