Fani zinazokuacha na ujuzi unaoeleweka ni rahisi kujiajiri kuliko hizi fani zinazokufanya utegemee kuajiriwa, mfano: accounts, procurement, sociology, business administration, economics, statistics, taxation n.k
Hamna cha upendeleo wala nini! Kuna mshikaji nimesoma nae tumemaliza wote, wakati tunaelekea interview Dar tulipanda bus moja, jana katangazwa kweny page za kuitwa kazini...na sio kwamba anahela au ana watu wanao mjua huko utumishi...mtu wa kawaida...juhudi zako tu ndio zitakufikisha unapotaka kuwa.
Hamna cha upendeleo wala nini! Kuna mshikaji nimesoma nae tumemaliza wote, wakati tunaelekea interview Dar tulipanda bus moja, jana katangazwa kweny page za kuitwa kazini...na sio kwamba anahela au ana watu wanao mjua huko utumishi...mtu wa kawaida...juhudi zako tu ndio zitakufikisha unapotaka kuwa.