Ni wale tuu sisi tuliotwa kwenye oral na tukafanya vizuri oral ila nafasi ikakosekana hivyo , Kama oral utafanya vizuri basi uwezekano wa jina lako kuwekwa kwenye dat base ni mkubwa,,,Pia unaweza ukawa umefanya vizuri written ila ora ukazinguwa jina lako halikai data base
Note:
1.Data base haizidi majina ishirini kwa interview moja .
2.Na wale tutakao pangiwa kituo cha kazi cha Tunduma pale boarder tukawe makini sana
Tukutane kuchukuwa barua za kireport kazi😎😎😎😎