naomba niulize swali, hivi ambao wanawekwa kwenye data base ni wale waliochaguliwa kuingia oral au ambao wameshafanyiwa oral interview alafu wakachaguliwa ila nafasi izo 7 mfano kwenye custom zimejaa so lakini wapo waliofanya vizuri ila hawajapangiwa kazi, naomba ufafanuzi tafadhali mkuu