umeshakosa tayari mkuu,methods ndio zinazotumika mkuu kuvalue goods,hii nayo ni taaluma ,soma hapo utaelewaWabongo bwana kwa kufarijiana swali linauliza how to value a good hawajasema method used in valuing good. Sasa kwa taarifa yenu valuation of any good depends on following
1. Value of the Good
2. Production costs
3. Necessity or usable advantage to its customers
4. Packaging and it’s branding
5. Costs of transportation n.k n.k
umeshakosa tayari mkuu,methods ndio zinazotumika mkuu kuvalue goods,hii nayo ni taaluma ,soma hapo utaelewaView attachment 1503883
mkuu kwaio ulitaka kabisa wakuandikie uandike methods doo vitu vingine vya kujiongeza alaf wao wanapouliza swali wanarefer kwenye taaluma ya customs na si vinginevyo.Aaah mkuu wewe tusubiri majibu bana hizo ni method swali halikutaka methord bana nabisha
mkuu kwaio ulitaka kabisa wakuandikie uandike methods doo vitu vingine vya kujiongeza alaf wao wanapouliza swali wanarefer kwenye taaluma ya customs na si vinginevyo.
We ukisikia HOW unadhani wanahitaji nn?Wabongo bwana kwa kufarijiana swali linauliza how to value a good hawajasema method used in valuing good. Sasa kwa taarifa yenu valuation of any good depends on following
1. Value of the Good
2. Production costs
3. Necessity or usable advantage to its customers
4. Packaging and it’s branding
5. Costs of transportation n.k n.k
Hizo sio point mdogo wangu. Kama swali lilikuwa kama nilivyoambiwa basi madogo wamejibu sahihi zile methods sita.Sasa mkuu hata mimi hizo point nilizoandika bado zipo ndani ya hizo main point kimaelezo ukizisoma
Watakuwa wanafanya ya Jecha salim Jecha.Majibu bado tu? Mbona kama wamechelewa
Watakuwa wanafanya ya Jecha salim Jecha.
Yanatoka kati ya leo au kesho kuweni wapole...ila watu mmeharibu kinoma...sijui vijana wa siku hizi kichwani kuna nini!
kusoma nayo ni kazi hahahaaAhahahahahahhahahhhahahah mkuu watu vichwani ni mademu na washikaji tu basi
Kama wameharibu mtihani urudiwe.Yanatoka kati ya leo au kesho kuweni wapole...ila watu mmeharibu kinoma...sijui vijana wa siku hizi kichwani kuna nini!
Customs officer II hiyo jamani nilijibu jibu tuHaya ndio yalikuwa maswali kiongozi
1. What should appear in a custom inspection report
2. Necessary documents for shipping merchandise
3. How do you assess value for import from a Multilateral corporation
4. How do you generate revenue from a bonded warehouse
My take: Hakuna awali nililokuwa nalifahamu kwa usahihi cause ya taaluma yangu ya awali. So, nilichojibu nilitumia akili ya kujiongeza.
Akili 2 naskia matokeo ya usaili yametoka, vipi huko
Bado hawajtoa wametoa kada ya ict officer tuUnasikia wap unatakiwa kwenda kwenye www.ajira.go.tz kama yapo achana na habari za kusikia
Endeleeni kuwa wavimilivu miandiko yenu mibaya sana tunashindwa kusahihisha