Tunaomba TAKUKURU ichunguze rushwa ya ngono maofisini

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,160
7,732
Tafiti zisizo rasmi zinaonyesha kuwa rushwa ya ngono imetamalaki maofisini, wanawake wanadhalilishwa kingono, ndoa za watu zinavunjika. Mapenzi kazini yanaathiri kwa kiasi kikubwa ufanisi kazini.

Rushwa ya ngono ni kama vile imehalalishwa. Naamini Rushwa hii ya Ngono ni utovu mkubwa wa maadili hivyo inapaswa ifuatiliwe na hatua kali zichukuliwe kwa wahusika.
 
Katika rushwa ngumu kumkamata muhusika ni hii, labda mwanamke ndio atege mtego. Halafu rushwa hii mwanamke huitoa mwenyewe au kujenga mazingira ili apate fursa fulani asiyostahili
 
Hahahaa tena wanawake walii olewa ndio balaaa tupu mara 100 ambao bado hawajaolewa,
Walio olewa na wenye watoto ila hawajaolewa

Huwa wanakuwa warahis kutokana na shida zao za kimaisha. Kutaka kutatua haraka shida zake alee watoto wake changamoto kama hiyo haikwepi.. me wawil nmewahi kuwasaidia shida zao bila kuwataka kimahusiano.. lakini cha ajabu ndio wamenipenda mazima wanataka niwe baba watoto et najua kujali..

Nyie wanaume mnaowaacha wanawake kwenye hali ngumu pamoja na wanawenu(watoto) moto unawahusu
 
Waacheni maafisa wajilie vyao. Hayo ndo matunda ya elimu zao

Pisi imetoka chuo inataka kazi naiachaje au manzi yoyote mzuri

Sitaki kuwa mnafiki kwenye hili kwa mimi lazima niombe rushwa ya ngono
 
Tafiti zisizo rasmi zinaonyesha kuwa rushwa ya ngono imetamalaki maofisini, wanawake wanadhalilishwa kingono, ndoa za watu zinavunjika....

Mwanamke ana uwezo wa kusema hapana, hasa aliyeolewa, mwanaume yeyote akiambiwa na mke kazi inanishinda sababu ya bosi kunitaka will be supportive.

Mwanamke yeyote anayekubali kwa ridhaa kulala na mwanamke kwa sababu yeyote hata kama ni kufukuzwa kazi, anaitwa MALAYA
 
Mwanamke ana uwezo wa kusema hapana, hasa aliyeolewa, mwanaume yeyote akiambiwa na mke kazi inanishinda sababu ya bosi kunitaka will be supportive.

Mwanamke yeyote anayekubali kwa ridhaa kulala na mwanamke kwa sababu yeyote hata kama ni kufukuzwa kazi, anaitwa MALAYA
tunacho taka hapa ni kwamba wale viongozi wlio pewa dhamana kwenye nafasi yoyote ile waache tabia ya kuwataka kimpenzi wanawake mahali/sehemu za kazi maana ukileta mapenzi kazini na walio chini yako ujue ufanisi hauto kuwepo matokeo yake ni utendaji mbovu lakini pia hupelekea upendeleo bila kuzingatia sifa.
 
tunacho taka hapa ni kwamba wale viongozi wlio pewa dhamana kwenye nafasi yoyote ile waache tabia ya kuwataka kimpenzi wanawake mahali/sehemu za kazi maana ukileta mapenzi kazini na walio chini yako ujue ufanisi hauto kuwepo matokeo yake ni utendaji mbovu lakini pia hupelekea upendeleo bila kuzingatia sifa.

Kwa hiyo shida sio uzalilishaji tena? Ni ufanisi? Who cares
 
Back
Top Bottom