Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
- Thread starter
- #61
Kama hii ni kweli, basi CCM imeshakufa
Mwenyekiti, Katibu pamoja na Katibu Mwenezi wa CCM, waliwalipa Watanzania waishio Marekani kiasi cha $9,500 kila mmoja pamoja na tiketi za ndege kuja kwenye mkutano mkuu ili kumpigia kura Mwenyekiti pamoja na wajumbe wengine, kama Membe. Hii ni kashfa ambayo CCM lazima iijibu, kwani haya yametoka vinywani mwa wana DMV wenyewe waliokuja hapa Dodoma kwenye mkutano mkuu