Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,123
- 39,337
Habarini wadau wa tech
Nimesoma habari mbali mbali kumhusu huyu mwamba iPhone 12 pro ni hatari
Binafsi ni fan wa apple kindaki ndaki! Iphone haijawahi kuniangusha na sijawahi jutia kutumia apple kwakweli!
Niliisubiri samsung note 20 haijanivutia nimeona nielekeze nguvu kwa iphone 12 pro max huku upande wa android Samsung S10 plus itakua ikinipa backup
Tunaomsubiri huyu mwamba tukutane hapa
Nimesoma habari mbali mbali kumhusu huyu mwamba iPhone 12 pro ni hatari
Binafsi ni fan wa apple kindaki ndaki! Iphone haijawahi kuniangusha na sijawahi jutia kutumia apple kwakweli!
Niliisubiri samsung note 20 haijanivutia nimeona nielekeze nguvu kwa iphone 12 pro max huku upande wa android Samsung S10 plus itakua ikinipa backup
Tunaomsubiri huyu mwamba tukutane hapa