Hizi hapa ndio simu 10 bora zaidi duniani 2022

Reuben Challe

JF-Expert Member
Dec 10, 2021
2,761
5,038
Kutoka kwa page ya Tech Advisor hizi ndio simu bora zaidi kwa mwaka 2022
1. iPhone 13 pro (iPhone bora zaidi) $999 at Amazon
iphone_13_pro_review_1.jpg

PROS
Ina display yenye 120Hz refresh rate
Ina kamera kali sana
Ina uwezo wa hali ya juu
Inatunza cchaji vizuri
CONS
Cinematography Mode na HDR algorithm zinapaswa kufanyiwa kazi
Ina bei ghali sana

2. Samsung Galaxy S22 Ultra (Simu bora zaidi inayotumia Android OS) $1015.87 at Amazon
galaxy_s22_ultra_hands_on_19.jpg

PROS
Ina kamera kali sana
Display yake ina ubora wa hali ya juu
Design yake inavutia sana
CONS
Ni nene, nzito na kubwa sana
Ina bei ghali
Inachaji taratibu
3. iPhone 13 (Ipo vizuri kwenye sekta nyingi) $829 at Apple
iphone_13_review_2.jpg

PROS
Ina uwezo mkubwa sana
Kamera yake ni kali
Inatunza chaji
Ina thamani kubwa
CONS
Ina display yenye 60Hz refresh rate
Haina telephoto camera
Inachaji taratibu
4.Google Pixel 6A $449 at Amazon
Google-Pixel-6A_review_1.jpg

PROS
Ina uwezo mkubwa sana
Inatunza chaji
Ina kamera nzuri
CONS
Ina display yenye 60Hz refresh rate
Inachaji taratibu
Plastiki yake ya nyuma inakwaruzika kirahisi
5. Google Pixel 6 pro (Best user experience)
google_pixel_6_pro_review_29.jpg

PROS
Ina display yenye 120Hz refresh rate
Ina kamera kali sana
Ina software nzuri sana
Inatunza chaji
CONS
Ndio simu ya Google Pixel kubwa, nene na nzito zaidi
Fast charging yake ni ya ovyo
6. Opo Find X5 Pro (Kamera bomba sana)
oppo_find_x5_pro-05.jpg

PROS
Ina display ya high quality
Ina kamera kali
Ina muundo wa kipekee
CONS
Haina perioscopic zoom
Ina bei ghali
7. OnePlus 10 Pro (Inatunza chaji balaa) $779 at Amazon
oneplus_10_pro_review_10.jpg

PROS
Ina chaji kwa haraka sana kwa kutumia way a wake wa 80W
Inadumu kwa muda mrefu
Ina specifications kubwa
CONS
Kamera yake haiwezi kubalance ubora wa picha vizuri
Haina IP Rating
8. Vivo X80 Pro $969 at AliExpress
vivo_x80_pro_review.jpg

PROS
Kamera yake ina uwezo mkubwa sana wa kuchukua picha
Inachaji fasta iwe kwa waya au wireless
Inatunza chaji
CONS
Muundo wake wa kamera ni m'baya
Haina Gorilla glass
Software yake sio nzuri sana
9. Samsung Galaxy Z Flip 3 (Ndio simu bora zaidi ambayo ni foldable)
galaxy_z_flip_3_studio_shots_review_1.jpg

PROS
Ina muundo wa kifahari wa kujikunja
Ni water resistant
Ina bei ya kawaida
CONS
Haina telephoto camera
Ukaaji wake wa chaji sio mzuri sana
Sio ngumu, ingependeza kama ingekuwa ngumu zaidi
10. Xiaomi 12 Pro (Great for Multimedia)
xiaomi_12_pro_review_3.jpg

PROS
Ina muundo mzuri sana
Ina display yenye ubora wa hali ya juu
Ina kamera kali sana... ni moto wa kuotea mbali
Ina fast 120W charger
CONS
Haitunzi chaji ipasavyo
Haina IP Rating

Ndio hizo hapo wa kuu. Tena kuna hio brand no 10 yaani XIAOMI hii kampuni inakua kwa kasi sana.. Nina imani ipo siku watatoa world's best phone... Au nyie mnaonaje wakuu?
 
Kutoka kwa page ya Tech Advisor hizi ndio simu bora zaidi kwa mwaka 2022
1. iPhone 13 pro (iPhone bora zaidi) $999 at Amazon
View attachment 2326602
PROS
Ina display yenye 120Hz refresh rate
Ina kamera kali sana
Ina uwezo wa hali ya juu
Inatunza cchaji vizuri
CONS
Cinematography Mode na HDR algorithm zinapaswa kufanyiwa kazi
Ina bei ghali sana

2. Samsung Galaxy S22 Ultra (Simu bora zaidi inayotumia Android OS) $1015.87 at Amazon
View attachment 2326612
PROS
Ina kamera kali sana
Display yake ina ubora wa hali ya juu
Design yake inavutia sana
CONS
Ni nene, nzito na kubwa sana
Ina bei ghali
Inachaji taratibu
3. iPhone 13 (Ipo vizuri kwenye sekta nyingi) $829 at Apple
View attachment 2326620
PROS
Ina uwezo mkubwa sana
Kamera yake ni kali
Inatunza chaji
Ina thamani kubwa
CONS
Ina display yenye 60Hz refresh rate
Haina telephoto camera
Inachaji taratibu
4.Google Pixel 6A $449 at Amazon
View attachment 2326625
PROS
Ina uwezo mkubwa sana
Inatunza chaji
Ina kamera nzuri
CONS
Ina display yenye 60Hz refresh rate
Inachaji taratibu
Plastiki yake ya nyuma inakwaruzika kirahisi
5. Google Pixel 6 pro (Best user experience)
View attachment 2326629
PROS
Ina display yenye 120Hz refresh rate
Ina kamera kali sana
Ina software nzuri sana
Inatunza chaji
CONS
Ndio simu ya Google Pixel kubwa, nene na nzito zaidi
Fast charging yake ni ya ovyo
6. Opo Find X5 Pro (Kamera bomba sana)
View attachment 2326639
PROS
Ina display ya high quality
Ina kamera kali
Ina muundo wa kipekee
CONS
Haina perioscopic zoom
Ina bei ghali
7. OnePlus 10 Pro (Inatunza chaji balaa) $779 at Amazon
View attachment 2326692
PROS
Ina chaji kwa haraka sana kwa kutumia way a wake wa 80W
Inadumu kwa muda mrefu
Ina specifications kubwa
CONS
Kamera yake haiwezi kubalance ubora wa picha vizuri
Haina IP Rating
8. Vivo X80 Pro $969 at AliExpress
View attachment 2326717
PROS
Kamera yake ina uwezo mkubwa sana wa kuchukua picha
Inachaji fasta iwe kwa waya au wireless
Inatunza chaji
CONS
Muundo wake wa kamera ni m'baya
Haina Gorilla glass
Software yake sio nzuri sana
9. Samsung Galaxy Z Flip 3 (Ndio simu bora zaidi ambayo ni foldable)
View attachment 2326722
PROS
Ina muundo wa kifahari wa kujikunja
Ni water resistant
Ina bei ya kawaida
CONS
Haina telephoto camera
Ukaaji wake wa chaji sio mzuri sana
Sio ngumu, ingependeza kama ingekuwa ngumu zaidi
10. Xiaomi 12 Pro (Great for Multimedia)
View attachment 2326726
PROS
Ina muundo mzuri sana
Ina display yenye ubora wa hali ya juu
Ina kamera kali sana... ni moto wa kuotea mbali
Ina fast 120W charger
CONS
Haitunzi chaji ipasavyo
Haina IP Rating

Ndio hizo hapo wa kuu. Tena kuna hio brand no 10 yaani XIAOMI hii kampuni inakua kwa kasi sana.. Nina imani ipo siku watatoa world's best phone... Au nyie mnaonaje wakuu?
Bila huawei hapo hamna kitu, list irudiwe
 
Aisee, yani kumbe siku hizi Oppo anamzidi Xiaomi?๐Ÿ˜‚

Halafu eti Xiaomi 12 Pro imo kwenye list ila Xiaomi 12 Ultra haipo?๐Ÿ˜‚

Halafu Google Pixel 6A imeshika nafasi ya juu kumshinda mzazi wake Google Pixel 6 Pro?๐Ÿ˜‚

This is just a rubbish list from someone who is not a smartphone enthusiast at all.
 
Aisee, yani kumbe siku hizi Oppo anamzidi Xiaomi?

Halafu eti Xiaomi 12 Pro imo kwenye list ila Xiaomi 12 Ultra haipo?

Halafu Google Pixel 6A imeshika nafasi ya juu kumshinda mzazi wake Google Pixel 6 Pro?

This is just a rubbish list from someone who is not a smartphone enthusiast at all.
Wewe unazingatia uwezo wa simu tu mkuu, hapo wamezingatia mambo mengi ikiwemo uwiano wa simu na bei yake, ingekuwa ni suala la uwezo tu basi ingeanza Samsung galaxy s22 Ultra, na pia Google Pixel 6A isingeipita Google Pixel 6.
Kuna simu nyingine ni nzuri sana ila bei zake ni ghali sana kuliko uzuri wake mfano Sony Xperia 1 IV ndio maana haipo hapo. Hata hivyo ukiiangalia LIST imeanza iPhone 13 pro na sio iPhone 13 pro Max... unajua ni kwa nini.. ni kwa sababu hawajawekea suala la uwezo kipaumbele sana... Wameangalia mambo mengi.
Halafu hiyo list sio yangu, nimeitoa kwenye website kubwa tu ambayo inaitwa TechAdvisor, wamekaa chini wakafanya utafiti kwa viwango vyao wakatengeneza hiyo LIST. Umeelewa mkuu??
 
Kwa mnaotumia iphone hivi vioo vya iphone 11 na 13 ni kwanini vinakua na mistari kqa mbali kama pixels hivi yani ukiangalia kwa umakini unaona kama vibox box(pixel) na hazipo clear kama za samsung, au simu zingine ?
 
Kwa mnaotumia iphone hivi vioo vya iphone 11 na 13 ni kwanini vinakua na mistari kqa mbali kama pixels hivi yani ukiangalia kwa umakini unaona kama vibox box(pixel) na hazipo clear kama za samsung, au simu zingine ?

hapa mchawi ni resolution,vioo vya iphone unakuta ni vipana lakini resolution ni ndogo,ndio maana pixels zinaonekana.

ila samsung kioo kikiwa kipana bas na resolution inawekwa kubwa.
 
Trump alipokuwa madarakani aliwashiana moto na Taifa la China kisa ilikuwa ni simu za Huawei kuonekana zina ubora wa juu kiasi cha kutishia soko la iPhone,,, akawatuhumu wana copy teknolojia ya iPhone

Na kiukweli Huawei ni very very challenging brand ktk soko la dunia kutokana na ubora wake ktk angle mbalimbali

Sasa nashangaa mleta mada unaleta list ya simu bora unaziweka GooglePixel na kina Xiaomi alafu Mnyama the international Superbrand HUAWEI hayupo,,,, list ni fekero imejaa watumishi hewa ๐Ÿ˜€
 
Kutoka kwa page ya Tech Advisor hizi ndio simu bora zaidi kwa mwaka 2022
1. iPhone 13 pro (iPhone bora zaidi) $999 at Amazon
View attachment 2326602
PROS
Ina display yenye 120Hz refresh rate
Ina kamera kali sana
Ina uwezo wa hali ya juu
Inatunza cchaji vizuri
CONS
Cinematography Mode na HDR algorithm zinapaswa kufanyiwa kazi
Ina bei ghali sana

2. Samsung Galaxy S22 Ultra (Simu bora zaidi inayotumia Android OS) $1015.87 at Amazon
View attachment 2326612
PROS
Ina kamera kali sana
Display yake ina ubora wa hali ya juu
Design yake inavutia sana
CONS
Ni nene, nzito na kubwa sana
Ina bei ghali
Inachaji taratibu
3. iPhone 13 (Ipo vizuri kwenye sekta nyingi) $829 at Apple
View attachment 2326620
PROS
Ina uwezo mkubwa sana
Kamera yake ni kali
Inatunza chaji
Ina thamani kubwa
CONS
Ina display yenye 60Hz refresh rate
Haina telephoto camera
Inachaji taratibu
4.Google Pixel 6A $449 at Amazon
View attachment 2326625
PROS
Ina uwezo mkubwa sana
Inatunza chaji
Ina kamera nzuri
CONS
Ina display yenye 60Hz refresh rate
Inachaji taratibu
Plastiki yake ya nyuma inakwaruzika kirahisi
5. Google Pixel 6 pro (Best user experience)
View attachment 2326629
PROS
Ina display yenye 120Hz refresh rate
Ina kamera kali sana
Ina software nzuri sana
Inatunza chaji
CONS
Ndio simu ya Google Pixel kubwa, nene na nzito zaidi
Fast charging yake ni ya ovyo
6. Opo Find X5 Pro (Kamera bomba sana)
View attachment 2326639
PROS
Ina display ya high quality
Ina kamera kali
Ina muundo wa kipekee
CONS
Haina perioscopic zoom
Ina bei ghali
7. OnePlus 10 Pro (Inatunza chaji balaa) $779 at Amazon
View attachment 2326692
PROS
Ina chaji kwa haraka sana kwa kutumia way a wake wa 80W
Inadumu kwa muda mrefu
Ina specifications kubwa
CONS
Kamera yake haiwezi kubalance ubora wa picha vizuri
Haina IP Rating
8. Vivo X80 Pro $969 at AliExpress
View attachment 2326717
PROS
Kamera yake ina uwezo mkubwa sana wa kuchukua picha
Inachaji fasta iwe kwa waya au wireless
Inatunza chaji
CONS
Muundo wake wa kamera ni m'baya
Haina Gorilla glass
Software yake sio nzuri sana
9. Samsung Galaxy Z Flip 3 (Ndio simu bora zaidi ambayo ni foldable)
View attachment 2326722
PROS
Ina muundo wa kifahari wa kujikunja
Ni water resistant
Ina bei ya kawaida
CONS
Haina telephoto camera
Ukaaji wake wa chaji sio mzuri sana
Sio ngumu, ingependeza kama ingekuwa ngumu zaidi
10. Xiaomi 12 Pro (Great for Multimedia)
View attachment 2326726
PROS
Ina muundo mzuri sana
Ina display yenye ubora wa hali ya juu
Ina kamera kali sana... ni moto wa kuotea mbali
Ina fast 120W charger
CONS
Haitunzi chaji ipasavyo
Haina IP Rating

Ndio hizo hapo wa kuu. Tena kuna hio brand no 10 yaani XIAOMI hii kampuni inakua kwa kasi sana.. Nina imani ipo siku watatoa world's best phone... Au nyie mnaonaje wakuu?
User wa MI tupo hapa
 
Kutoka kwa page ya Tech Advisor hizi ndio simu bora zaidi kwa mwaka 2022
1. iPhone 13 pro (iPhone bora zaidi) $999 at Amazon
View attachment 2326602
PROS
Ina display yenye 120Hz refresh rate
Ina kamera kali sana
Ina uwezo wa hali ya juu
Inatunza cchaji vizuri
CONS
Cinematography Mode na HDR algorithm zinapaswa kufanyiwa kazi
Ina bei ghali sana

2. Samsung Galaxy S22 Ultra (Simu bora zaidi inayotumia Android OS) $1015.87 at Amazon
View attachment 2326612
PROS
Ina kamera kali sana
Display yake ina ubora wa hali ya juu
Design yake inavutia sana
CONS
Ni nene, nzito na kubwa sana
Ina bei ghali
Inachaji taratibu
3. iPhone 13 (Ipo vizuri kwenye sekta nyingi) $829 at Apple
View attachment 2326620
PROS
Ina uwezo mkubwa sana
Kamera yake ni kali
Inatunza chaji
Ina thamani kubwa
CONS
Ina display yenye 60Hz refresh rate
Haina telephoto camera
Inachaji taratibu
4.Google Pixel 6A $449 at Amazon
View attachment 2326625
PROS
Ina uwezo mkubwa sana
Inatunza chaji
Ina kamera nzuri
CONS
Ina display yenye 60Hz refresh rate
Inachaji taratibu
Plastiki yake ya nyuma inakwaruzika kirahisi
5. Google Pixel 6 pro (Best user experience)
View attachment 2326629
PROS
Ina display yenye 120Hz refresh rate
Ina kamera kali sana
Ina software nzuri sana
Inatunza chaji
CONS
Ndio simu ya Google Pixel kubwa, nene na nzito zaidi
Fast charging yake ni ya ovyo
6. Opo Find X5 Pro (Kamera bomba sana)
View attachment 2326639
PROS
Ina display ya high quality
Ina kamera kali
Ina muundo wa kipekee
CONS
Haina perioscopic zoom
Ina bei ghali
7. OnePlus 10 Pro (Inatunza chaji balaa) $779 at Amazon
View attachment 2326692
PROS
Ina chaji kwa haraka sana kwa kutumia way a wake wa 80W
Inadumu kwa muda mrefu
Ina specifications kubwa
CONS
Kamera yake haiwezi kubalance ubora wa picha vizuri
Haina IP Rating
8. Vivo X80 Pro $969 at AliExpress
View attachment 2326717
PROS
Kamera yake ina uwezo mkubwa sana wa kuchukua picha
Inachaji fasta iwe kwa waya au wireless
Inatunza chaji
CONS
Muundo wake wa kamera ni m'baya
Haina Gorilla glass
Software yake sio nzuri sana
9. Samsung Galaxy Z Flip 3 (Ndio simu bora zaidi ambayo ni foldable)
View attachment 2326722
PROS
Ina muundo wa kifahari wa kujikunja
Ni water resistant
Ina bei ya kawaida
CONS
Haina telephoto camera
Ukaaji wake wa chaji sio mzuri sana
Sio ngumu, ingependeza kama ingekuwa ngumu zaidi
10. Xiaomi 12 Pro (Great for Multimedia)
View attachment 2326726
PROS
Ina muundo mzuri sana
Ina display yenye ubora wa hali ya juu
Ina kamera kali sana... ni moto wa kuotea mbali
Ina fast 120W charger
CONS
Haitunzi chaji ipasavyo
Haina IP Rating

Ndio hizo hapo wa kuu. Tena kuna hio brand no 10 yaani XIAOMI hii kampuni inakua kwa kasi sana.. Nina imani ipo siku watatoa world's best phone... Au nyie mnaonaje wakuu?
User wa MI tupo hapa
 
Trump alipokuwa madarakani aliwashiana moto na Taifa la China kisa ilikuwa ni simu za Huawei kuonekana zina ubora wa juu kiasi cha kutishia soko la iPhone,,, akawatuhumu wana copy teknolojia ya iPhone

Na kiukweli Huawei ni very very challenging brand ktk soko la dunia kutokana na ubora wake ktk angle mbalimbali

Sasa nashangaa mleta mada unaleta list ya simu bora unaziweka GooglePixel na kina Xiaomi alafu Mnyama the international Superbrand HUAWEI hayupo,,,, list ni fekero imejaa watumishi hewa

ingekuwa ni ishu ya soko china kupitia huawei angekubali sharti alilopewa,aache kuweka chip zenye kurekodi siri za watu.lakini alikaza,jamaa akabonyeza block.

ishu ya huawei ilikuwa ya kiusalama zaidi,maana nova ni huawei b bado anavimba tu mitaa ya google.
 
Back
Top Bottom