domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,545
- 1,719
G Sam wewe sio tu unaielewa CCM, unaielewa pia emokrasia na kutambua nguvu zake. Unafshamu fika watu wakiamua hakuna wa kuzuia.
Hoja ya wananchi itawasilishwa bungeni na muwakilishi wa wananchi, mbunge.Wabunge, ambao ni wawakilishi wa wananchi watafanya maamuzi kwa niaba ya wananchi. Demokrasia imefuata mkondo wake.
Ikifanyika hivyo kutakuwa kuna kosa hapo? Mapungufu yepi yatajuwepo?
Hoja ya wananchi itawasilishwa bungeni na muwakilishi wa wananchi, mbunge.Wabunge, ambao ni wawakilishi wa wananchi watafanya maamuzi kwa niaba ya wananchi. Demokrasia imefuata mkondo wake.
Ikifanyika hivyo kutakuwa kuna kosa hapo? Mapungufu yepi yatajuwepo?