Tunaoielewa CCM tumemuelewa Juma Nkamia, tumeshayaona matokeo

Huenda siku ambayo Tanzania mtaacha kuhangaika, kumshambulia na kumchukia Rais wa Rwanda Paul Kagame ndiyo ikawa mwanzo wenu mzuri wa kuanza kuwa na Maendeleo yenu hasa ya Kiuchumi na Kijamii. Kinachonisikitisha huyo Rais Kagame mnayehangaika nae Yeye nchi yake kila siku inapiga hatua na si ajabu hata muda si mrefu ikaja kuipita Tanzania lakini Tanzania bado inapiga tu ' mark time ' Kimaendeleo huku mkiwa mmewekeza katika Majungu, Chuki, Unafiki, Husuda, Uswahili na Fitna.

Badilikeni bado hamjachelewa!
,100% you are correct!
 
Tunataka maendeleo. kama maendeleo yanakuja kwa style hiyo Basi atawale milele. Democrasia bila uchumi na maendeleo ni sawa na jehanamu. Go Magu we support you.
Huo uchumi na.maendeleo unaosema.wewe uko wapi? Kazi za serili ni zipi? Je kiongozi akizitimiza kama kweli. Atajwe yeye au serikali as a whole? Tanzania haijawahi kutawalowa na viongozi wala chama kingine zaidi ya hiki cha kina polepple huo upya mnautoa wapi wenzetu? mnaacha kujenga taasisi matokeo yake mnatengeneza na kuabudu watu .mnatofauti gani na wale wanaopiga magoti na kuomba toba mbele ya vikaragosi/masanamu
 
Huenda siku ambayo Tanzania mtaacha kuhangaika, kumshambulia na kumchukia Rais wa Rwanda Paul Kagame ndiyo ikawa mwanzo wenu mzuri wa kuanza kuwa na Maendeleo yenu hasa ya Kiuchumi na Kijamii. Kinachonisikitisha huyo Rais Kagame mnayehangaika nae Yeye nchi yake kila siku inapiga hatua na si ajabu hata muda si mrefu ikaja kuipita Tanzania lakini Tanzania bado inapiga tu ' mark time ' Kimaendeleo huku mkiwa mmewekeza katika Majungu, Chuki, Unafiki, Husuda, Uswahili na Fitna.

Badilikeni bado hamjachelewa!
Vipi kuhusu wale waasi kule DRC wanaoshiriki kuua wanajeshi wetu wanaungwa mkono na nchi gani za East Africa? Ikiwemo na kupewa misaada.
 
Huenda siku ambayo Tanzania mtaacha kuhangaika, kumshambulia na kumchukia Rais wa Rwanda Paul Kagame ndiyo ikawa mwanzo wenu mzuri wa kuanza kuwa na Maendeleo yenu hasa ya Kiuchumi na Kijamii. Kinachonisikitisha huyo Rais Kagame mnayehangaika nae Yeye nchi yake kila siku inapiga hatua na si ajabu hata muda si mrefu ikaja kuipita Tanzania lakini Tanzania bado inapiga tu ' mark time ' Kimaendeleo huku mkiwa mmewekeza katika Majungu, Chuki, Unafiki, Husuda, Uswahili na Fitna.

Badilikeni bado hamjachelewa!
Video: Kumbe Kagame naye aliumizwa na wale waliokuwa wanataka abadili katiba kujiongezea muda
 
Matokeo yanasema kuwa hatimaye rais Magufuli ataongoza hadi 2022. Tumeshaona wanataka nini, nani anasukuma hili na kwa nini?

Haya ni matokeo ya ushawishi wa rafiki yetu kipenzi Paul Kagame.

Rais Magufuli amefanana na Kagame pengine kwa kila kitu! one man show, ukaliukali (Kagame aliwahi kupiga mtu hadharani, nadhani hii haitakuwa habari ya kushtukiza kama yule naye atafanya hivyo! Anawaita wapumbavu, anawachana kama alivyoenda nao bandarini, akiwa nao ikulu anawapa makavu kwa hasira). Pia kwenye kuuminya upinzani wanafanana.

Magufuli wala alikuwa hana mpango wa kupeleka reli Rwanda haraka hivyo. Safari ya Kagame ya siku moja imemfanya hata Magufuli akasema "Kwa kile kipande cha kule Nzasa kuelekea Kigali tutaangalia tunachangiana vipi. Tunachangiana? Kwanza hatuhitaji kufanya biashara na wanyarwanda maana tunawajua!

Swala la miaka saba kamwe halitengani na Magufuli! Ni aina ya kiongozi wa miaka saba na hilo litatekelezwa. Ndiyo maana aliwapigia simu kina Kafulila na Lowassa warudi CCM, Lissu aliwekewa target yake Mungu akaepusha, wengi wameminywa ili hilo litakapoletwa hadharani lipite kiulaini.

Miaka saba siyo ajenda ya Juma Nkamia bali ni ajenda ya CCM. Isingekuwa ajenda ya CCM basi Nkamia angeshaonywa hadharani. Kule Zanzibar tayari wameshaisema. Hivyo ilishajadiliwa sirini na itatekelezwa. Dodoma pale Magufuli atadumu sana. Tunaanza na miaka saba baadaye tunaondoa ukomo wa kugombea. Ndiyo aina ya uongozi wa kula nyama za watu! Utaanza na damu, utachagua baadhi ya maeneo utaendelea kunogewa na hatimaye utaupenda mwili mzima wa binadamu.

Tuko naye! Tukimshindwa basi hatuna jinsi zaidi ya kuvumilia liende. Kama huzioni dalili za mtu kutawala maisha (Siyo miaka saba maana ni kianzio tu cha kumla binadamu) Basi unahitaji miwani!
lakini ni muhimu watambue kuwa Rwanda ni kanchi kadogo na population ni ndogo.
so ni rahisi kwa kiongozi kui manipulate nchi ya aina hii.

Tanzania with its vastness and demographics - it's quite a tall order. kabla hawajaruka mfereji, watizame kwanza pa kutua mguu upande ule!!
 
Kama nchi zingine wanafanya upuuz kama huo CCCM watambue kuwa si kwa nchi hii

Warud wakasome historia vizuri

After all mtu mwenyewe wa kuongezewa muda yuko wapi?na anachokifanya cha maana kipi?

Kupambana na mafisadi ambao ni zao la chama chake hiko hiko?

Maana kama maendeleo ameshafeli uchumi unaanguka maisha yamekuwa jehanam hata kwa walalahoi...aongeze muda wa kuzid kuharibu zaidi?

Af kwanin hajiamin?
 
Na kagame ambae ni rafik yake alikuwa anakanusha hivi hivi kwamba hana mpango wa kukaa kwa miaka mingi zaid na kubadilisha katika

Lakin akaja kufanya alichokifanya...

Lakin huenda tusimlaumu sana kagame hasa kutokana na historia ya nchi ile kutoka kwenye machafuko mpaka kufikia hatua ya kukaa kwenye utulivu huenda kuna mambo ya aman anaona hayajakaa sawa yeye kuondoka madarakan

Enhe sasa huyu Juma Poor Manager kipi kinachompa tamaa ya kutaman kukaa milele ili hali watanguliz wake woote wametii katiba?

Na hata kama anasema hana mpango huo hiyo ni danganya toto tuh

Bashite mara nyiingi amesikika kusema bwana wake huyo anaweza kukaa kwa muda mwingi kama akitaka na kama katiba ikimruhusu...

Hilo wakae wakijua halitawezekana
 
Na kagame ambae ni rafik yake alikuwa anakanusha hivi hivi kwamba hana mpango wa kukaa kwa miaka mingi zaid na kubadilisha katika

Lakin akaja kufanya alichokifanya...

Lakin huenda tusimlaumu sana kagame hasa kutokana na historia ya nchi ile kutoka kwenye machafuko mpaka kufikia hatua ya kukaa kwenye utulivu huenda kuna mambo ya aman anaona hayajakaa sawa yeye kuondoka madarakan

Enhe sasa huyu Juma Poor Manager kipi kinachompa tamaa ya kutaman kukaa milele ili hali watanguliz wake woote wametii katiba?

Na hata kama anasema hana mpango huo hiyo ni danganya toto tuh

Bashite mara nyiingi amesikika kusema bwana wake huyo anaweza kukaa kwa muda mwingi kama akitaka na kama katiba ikimruhusu...

Hilo wakae wakijua halitawezekana
Mkuu the big show fanyeni kweli mmzuie huyu mtu asilete ujanja ujanja

Miaka saba sio mchezo, tutakariri adi kipara chake
 
Matokeo yanasema kuwa hatimaye rais Magufuli ataongoza hadi 2022. Tumeshaona wanataka nini, nani anasukuma hili na kwa nini?

Haya ni matokeo ya ushawishi wa rafiki yetu kipenzi Paul Kagame.

Rais Magufuli amefanana na Kagame pengine kwa kila kitu! one man show, ukaliukali (Kagame aliwahi kupiga mtu hadharani, nadhani hii haitakuwa habari ya kushtukiza kama yule naye atafanya hivyo! Anawaita wapumbavu, anawachana kama alivyoenda nao bandarini, akiwa nao ikulu anawapa makavu kwa hasira). Pia kwenye kuuminya upinzani wanafanana.

Magufuli wala alikuwa hana mpango wa kupeleka reli Rwanda haraka hivyo. Safari ya Kagame ya siku moja imemfanya hata Magufuli akasema "Kwa kile kipande cha kule Nzasa kuelekea Kigali tutaangalia tunachangiana vipi. Tunachangiana? Kwanza hatuhitaji kufanya biashara na wanyarwanda maana tunawajua!

Swala la miaka saba kamwe halitengani na Magufuli! Ni aina ya kiongozi wa miaka saba na hilo litatekelezwa. Ndiyo maana aliwapigia simu kina Kafulila na Lowassa warudi CCM, Lissu aliwekewa target yake Mungu akaepusha, wengi wameminywa ili hilo litakapoletwa hadharani lipite kiulaini.

Miaka saba siyo ajenda ya Juma Nkamia bali ni ajenda ya CCM. Isingekuwa ajenda ya CCM basi Nkamia angeshaonywa hadharani. Kule Zanzibar tayari wameshaisema. Hivyo ilishajadiliwa sirini na itatekelezwa. Dodoma pale Magufuli atadumu sana. Tunaanza na miaka saba baadaye tunaondoa ukomo wa kugombea. Ndiyo aina ya uongozi wa kula nyama za watu! Utaanza na damu, utachagua baadhi ya maeneo utaendelea kunogewa na hatimaye utaupenda mwili mzima wa binadamu.

Tuko naye! Tukimshindwa basi hatuna jinsi zaidi ya kuvumilia liende. Kama huzioni dalili za mtu kutawala maisha (Siyo miaka saba maana ni kianzio tu cha kumla binadamu) Basi unahitaji miwani!

mkuu unaweza kuandika justifications zote na uka connect dot zote,wengine walifanya kwa mkapa, kwa mwinyi hata kwa Kikwete!!

sioni magufuli akiyafanya hayo nchi hii...kwa sababu hana mpango huo, hana nguvu hizo na hana fikira hizo...historia iko hivyo

Ninachoona kwako ni chuki zako za wazi, za kujificha na hata wewe unajua kabisa hakuna kitu kama hicho!..ila mbwa usiyempenda unampa jina baya!..tunza chuki zako na moyo wako, maana siku akiondoka 2025..utaleta story zingine kwa aibu

una chuki na magufuli
 
Tunataka maendeleo. kama maendeleo yanakuja kwa style hiyo Basi atawale milele. Democrasia bila uchumi na maendeleo ni sawa na jehanamu. Go Magu we support you.
Akifa leo inamaana nchi Haina mtu mwingine atakaeweza kuiongoza na kuiletea maendeleo?
 
Hii kampen ni kubwa.. Naona hata huku kwenye mitandao kuna watu wameandaliwa kulitetea hili suala.
Tukumbushane tu, Mh Rais ni binadamu hatakuwepo hapo milele hiyo miaka 14 itaisha na hutajua huko mbeleni nani atakua Rais.

Kama mnaitakia mema Tanzania,kueni makini na hili suala, tukipata Rais fisadi, mdini, mkabila na asiyejua diplomasia kwa miaka hiyo 14 Tanzania itakua imerudi nyuma ama kurudi kwenye umasikini wakutupwa.
Huyo Nkamia aifikirie Tanzania zaidi sio mtu.

Lakini pia wakati mchakato wa katiba mpya unapitishwa hawa ccm walikua wapi kulisema hili?
 
Alipokuwa akisoma taarifa ya habari RTD aliwahi kumtaja Bwana Yesu kama Bwana na mwokozi wao. Na mpk anaondoka kwenda kugombea ubunge alikuwa akijulikana hivyo. Na mtu yeyote ambaye yuko against Jesus Christ hawezi kubarikiwa hata kama anayo mamlaka ya namna gani
 
Huenda siku ambayo Tanzania mtaacha kuhangaika, kumshambulia na kumchukia Rais wa Rwanda Paul Kagame ndiyo ikawa mwanzo wenu mzuri wa kuanza kuwa na Maendeleo yenu hasa ya Kiuchumi na Kijamii. Kinachonisikitisha huyo Rais Kagame mnayehangaika nae Yeye nchi yake kila siku inapiga hatua na si ajabu hata muda si mrefu ikaja kuipita Tanzania lakini Tanzania bado inapiga tu ' mark time ' Kimaendeleo huku mkiwa mmewekeza katika Majungu, Chuki, Unafiki, Husuda, Uswahili na Fitna.

Badilikeni bado hamjachelewa!
Ushauri wako ni mwepesi sana.
 
Ni rahisi kubadili katiba na kuweja idadi ya miaka waitakayo kwa mtawala umpendae, lakini utashindwa kuipunguza utakapompata mtawala asiefaa. Kitakuwa ni kilio na kusaga meno.
 
Kama nchi zingine wanafanya upuuz kama huo CCCM watambue kuwa si kwa nchi hii

Warud wakasome historia vizuri

After all mtu mwenyewe wa kuongezewa muda yuko wapi?na anachokifanya cha maana kipi?

Kupambana na mafisadi ambao ni zao la chama chake hiko hiko?

Maana kama maendeleo ameshafeli uchumi unaanguka maisha yamekuwa jehanam hata kwa walalahoi...aongeze muda wa kuzid kuharibu zaidi?

Af kwanin hajiamin?
Incompetency
 
Back
Top Bottom