Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 587
- 546
Tunatumia sehemu kubwa ya maisha yetu kungoja kuliko kuishi.
Tunangoja tumalize shule.
Tunangoja tupate ajira.
Tunangoja tupate mchumba.
Tunangoja mchumba abadilike.
Tunangoja ndoa.
Tunangoja tujenge.
Tunangoja tupate watoto.
Tunangoja tuongeze elimu.
Tunangoja tupande cheo.
Tunangoja tupate kazi ya ndoto zetu.
Tunangoja biashara ikue.
Tunangoja tujenge nyumba ya ndoto zetu.
Tunangoja kipato kiimarike.
Tunangoja watoto wasome.
Tunangoja kikokotoo cha kustaafu.
Mara kweli tumezeeka.
Tunangoja kufa. Hatujaishi.
Tunangoja tumalize shule.
Tunangoja tupate ajira.
Tunangoja tupate mchumba.
Tunangoja mchumba abadilike.
Tunangoja ndoa.
Tunangoja tujenge.
Tunangoja tupate watoto.
Tunangoja tuongeze elimu.
Tunangoja tupande cheo.
Tunangoja tupate kazi ya ndoto zetu.
Tunangoja biashara ikue.
Tunangoja tujenge nyumba ya ndoto zetu.
Tunangoja kipato kiimarike.
Tunangoja watoto wasome.
Tunangoja kikokotoo cha kustaafu.
Mara kweli tumezeeka.
Tunangoja kufa. Hatujaishi.