Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 11,273
- 23,709
Watu wa aina yako ndo tunataka msiwepo kwenye uongozi wa soka.Wewe unavyoona Muda anaenda club gani ya nje sasa..?
Mnakuwa kama mpira wa Tanzania hamuujui bhn, hao wenzenu washaridhika na kucheza Kariakoo. 3M kwanza nyingi sana kwake, atulie acheze mpira.