chama konokono
Member
- Apr 27, 2023
- 90
- 178
Mabingwa watetezi wa ligi kuu nchini Tanzania Young Africans Leo wanajitupa dimbani kumenyana na Namungo Fc katika mchezo wa ligi ya NBC.
Ikumbukwe katika michezo miwili iliyopita ya ligi Yanga wametoa vipigo vikali vya goli 5-0 kwa timu za Kmc na Jkt Tanzania, Je 5G itaendelea tena Leo?
Mchezo huu utapigwa mishale ya saa 1.00 usiku na utarushwa na Azam Sports1 HD
Timu zote mbili tayari zipo uwanjani na muda wowote refarii atapuliza kipenga kuashiria kuanza kwa kabumbu
00" Mpira umeanza Yanga ndio wameanzisha mpira
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
---
Dakika ya 88 Mudathir Yahya anaitanguliza Yanga
Ikumbukwe katika michezo miwili iliyopita ya ligi Yanga wametoa vipigo vikali vya goli 5-0 kwa timu za Kmc na Jkt Tanzania, Je 5G itaendelea tena Leo?
Mchezo huu utapigwa mishale ya saa 1.00 usiku na utarushwa na Azam Sports1 HD
Timu zote mbili tayari zipo uwanjani na muda wowote refarii atapuliza kipenga kuashiria kuanza kwa kabumbu
00" Mpira umeanza Yanga ndio wameanzisha mpira
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
---
Dakika ya 88 Mudathir Yahya anaitanguliza Yanga