tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Rais amewataka watu wote watakaoshindwa kuhesabiwa mpaka siku ya mwisho ya sensa, wapeleke taarifa zao kwa viongozi wa maeneo yao ndani ya siku saba ili taarifa zao zipelekwe panapohusika. Baada ya muda huo kupita wale watakaoshindwa kufanya hivyo watashughulikiwa.
Swali langu: Makarani walipangiwa maeneo yao kwa maana kila area ilikuwa covered. Kwanini hao makarani walioshindwa kuwafikia wananchi wasichukuliwe hatua?
Source: Hotuba Ya Rais
Swali langu: Makarani walipangiwa maeneo yao kwa maana kila area ilikuwa covered. Kwanini hao makarani walioshindwa kuwafikia wananchi wasichukuliwe hatua?
Source: Hotuba Ya Rais