Inaelekea hata hotuba za Mwalimu ulikuwa husikilizi wewe
And speaking of Greatness what was so great about Rashidi?
Come on man, najua sasa hivi Taifa liko sedated na kutaka kumfanya Rashidi Mtakatifu ili hali alikuwa na madhaifu kama binadamu mwingine.
Editorials za magazeti ya leo ni aibu tupu.
Kawawa's greatness hinged on his patriotism, honesty and intergrity some of the qualities which you GT and your benefactors will strive for eternity to acquire!! Wewe na handlers wako ni wezi na mafisadi hamuwezi kujilinganisha na Simba wa Vita!! Sasa hivi project yenu wewe na comprador wenzio ni January Makamba, mnampromote ili aje kuwa conduit yenu ya kutuibia a' la mzee wake na sisi wadanganyika tutawashtukia mpaka hapo atakapoondoka na mfadhili wake; ubunge wa Lushoto atausikia kwenye bomba tu!!!