Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,565
- 52,202
Kwako kila mtu ni mbaya, hata roho yako ni mbayaKazi ya Mungu hana makosa.
Sokoine ni dikteta aliyeondoshwa na Mungu mapema.
Kwako kila mtu ni mbaya, hata roho yako ni mbayaKazi ya Mungu hana makosa.
Sokoine ni dikteta aliyeondoshwa na Mungu mapema.
Wewe mzuri.Kwako kila mtu ni mbaya, hata roho yako ni mbaya
Wewe Gaidi wa kike hujioni ulivyo na roho yako mbaya?Kazi ya Mungu hana makosa.
Sokoine ni dikteta aliyeondoshwa na Mungu mapema.
Acho uwongoMasai wakipewa madaraka wanakuwa wajinga sana kama Sabaya na baba yake
Lowassa? Ole Gabriel? Ole Naiko? Ole Ngurumwa?Masai wakipewa madaraka wanakuwa wajinga sana kama Sabaya na baba yake
Kama vile nakubaliana na hoja kwa mbaaali!Lowassa? Ole Gabriel? Ole Naiko? Ole Ngurumwa?
Kwa issue ya sabaya ni yake sio ya kabila mambo ya kusema wamasai hiyo iache tena ifutilie mbali kwa sababu viongozi wapo wengi ambao sio wamasai na wanatumia madaraka kama watakavyo .Lowassa? Ole Gabriel? Ole Naiko? Ole Ngurumwa?
Sabaya ndo nani tena wa kumfananisha na icon kama sokonei.Kwa issue ya sabaya ni yake sio ya kabila mambo ya kusema wamasai hiyo iache tena ifutilie mbali kwa sababu viongozi wapo wengi ambao sio wamasai na wanatumia madaraka kama watakavyo .
000ppNyakati zimebadilika sana. Nimesoma 50% ya huu uzi, kuna hoja, hoja zinapanguliwa, kwa staha kabisa. Jamboforums ilikuwa na heshima sana.
Miaka 40 sasa bila majibuLeo ni miaka 23 tangu Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine atutoke ghafla na kuacha simanzi na wingu la huzuni. Siku ile ya machozi na majonzi imebakia katika kumbukumbu za Watanzania wengi kama vile jana. Mfano wake ni kumbukumbu ya Wamarekani waliposikia habari za kuuawa kwa Rais John F. Kennedy.
Kila mtu aliyekuwa mtu mzima wakati ule anakumbuka vizuri siku hiyo alikuwa wapi na alikuwa anafanya nini. Je pengo aliloliacha marehemu limeanza kuzibwa?
Je, kuna kiongozi yoyote ambaye anakaribia sifa na utendaji kazi wa Marehemu Sokoine? Leo tunamkumbuka Edward Sokoine.
Pata kidogo chini hapa toka kwa mkuu Kyoma: