Nonda si kweli kushindwa kuungana kwa wapinzani kunawapa nguvu ccm,maana ni bora kuwepo wapinzani wachache wenye nia ya kweli ya kulitumikia taifa hili,ubora wa jeshi haupimwi kwa wingi wake bali uchache wenye nia ya kweli...
Saa ya ukombozi ni sasa
Pia anapaswa kujua kuwa vyama kusimamisha mgombea mmoja tukiwa na tume hii hii ya uchaguzi isingesaidia kitu