Tunalaani kukamatwa kwa Sheikh Ponda

Tunalaani kukamatwa kwa Sheikh Ponda

Kwa mfumo wa ajira wa pale UTUMISHI walio uweka kama haupo vizuri kichwani hutoboi,so hizi kelele za Sheikh hazina mashiko.
 
"Mtu mweusi na roho yake nyeusi" isipokua wachache tu wenye imani,,,alietamka hili neno hakukosea.

Huyo ingekuwa Enzi zangu mimi POLICE na mpiga moja BOMU ya kichwa kwa bahati mbaya apotee kawa kero sana
 
Huyo ingekuwa Enzi zangu mimi POLICE na mpiga moja BOMU ya kichwa kwa bahati mbaya apotee kawa kero sana
Kwa bahati nzuri wewe utaishi zaidi ya miaka miamnili,mpumbavu kabisaaa .Haujitambui unafikiri ukiua kwako ndoo unapata faida ya kuishi duniani peke yako .
 
Huyo ingekuwa Enzi zangu mimi POLICE na mpiga moja BOMU ya kichwa kwa bahati mbaya apotee kawa kero sana


Nikutane na mtu kama wewe usie na imani wala huruma kwa binadamu mwenzio, na ufanye unyama huo, tena kwa mtu asie na hatia wallahi nakumaliza.
 
Nakumbuka hukumu yake ilikuwa na sharti la yeye kutokutenda au kurudia kosa la kwanza.

Lakini naona karudia yale yale, na sasa atasota mahabusu kama wenzake wa uhamsho.

Nchi hii dhamana inatolewa kutegemea kaamkaje siku hiyo.

Mtalaani sana, mwisho mtamsahau pia.
Waislamu huwa hawawasahau ndugu zao
 
Tunalaani suala la kuwekwa ndani Sheikh Ponda eti kwa waraka. Hii imekuwa ni kawaida kwa viongozi wa Kiislamu huku viongozi wa dini nyingine wakisema watakavyo hata kushawishi maandamano. Huu ni uonevu wa hali ya juu wa vyimbo vya dola kwa Waislamu

#KomeshaUkandamizajiWaKiaheriaNaUtekaji
#FreeSheikhPonda

hizb.or.tz

Panda juu, uloge.
 
Viongozi wa dini wengine kwenye nyaraka zao kamwe hawakumtuhumu kwamba anachagua waluteri kuliko wakatoliki au walokole ... kwanini Ponda? ana agenda gani Ponda ... matokeo ya harakati zake ni nini ? Sasa anatuhumu kwa kuchagua wakristo baadae atashutumu kwa kuchagua waislamu wa bakwata ...Sheikh ponda hana nia nzuri niamini ni kikuambia walokole hawakubaliani na wakatoliki hata kidogo lakini huwezi kuwakuta wanatoa waraka eti hii nchi haijawahi kua na mlokole kama Rais... kwanini Ponda Issa Ponda

Tatizo elimu. Ni ya madrasa tu!!!
 
Tunalaani suala la kuwekwa ndani Sheikh Ponda eti kwa waraka. Hii imekuwa ni kawaida kwa viongozi wa Kiislamu huku viongozi wa dini nyingine wakisema watakavyo hata kushawishi maandamano. Huu ni uonevu wa hali ya juu wa vyimbo vya dola kwa Waislamu

#KomeshaUkandamizajiWaKiaheriaNaUtekaji
#FreeSheikhPonda

hizb.or.tz
Amekamatwa kwa kosa gani

Naomba ufafanuzi
 
Back
Top Bottom