Mkereketwa2
Member
- Jun 15, 2011
- 14
- 21
Ndugu wabunge..Mimi nina mengi sana yakusema ila leo natoa hoja moja tu.
1.Tanzanite gemstone kwasasa hazisafirishwi nje ya nchi hadi ziwe processed hapa hapa Tanzania, Tanzaniteone Mining walikuwa wana export Tanzanite with Zero VAT, sasa Tanzanite inauzwa nje ikiwa tayari iko processed..Inakuwaje hawa jamaa wana export Tanzanite with zero VAT hadi leo??
2.Wakati wa campaign..Raisi aliahidi kuto kutoa leseni Mpya kwa Tanzaniteone mining LTD.. Leseni ime- expire toka mwaka jana..Je waziri wa madini anaweza kuteleza Tanzaniteone mining wanachimba madini kwa leseni gani hadi leo?? na kama bado hawajapewa leseni..Serikali inampango bado wakumpa Leseni mpya huyu mwekezaji??
3.Tunaomba waziri wa mambo ya ndani atueleze inakuwaje kampuni hii ina wageni zaidi ya 60 expatriate wakati kuna watanzania wanaoweza kufanya hizo kazi??
4.Kuna mfanyakazi mmoja wa security hapa Tanzanite one mining anaitwa COLLIN..alimuua mtanzania akakaa gerezani kwa mwaka akaachiliwa akarudi south africa...Chakushangaza huyu collin amerudi hapa Tanzania nakupewa working permit tena...hamna sheria yakuzua uuaji wa raia na bado mtu anapewa tena working permmitt...
5..Naomba mwendelezo..
1.Tanzanite gemstone kwasasa hazisafirishwi nje ya nchi hadi ziwe processed hapa hapa Tanzania, Tanzaniteone Mining walikuwa wana export Tanzanite with Zero VAT, sasa Tanzanite inauzwa nje ikiwa tayari iko processed..Inakuwaje hawa jamaa wana export Tanzanite with zero VAT hadi leo??
2.Wakati wa campaign..Raisi aliahidi kuto kutoa leseni Mpya kwa Tanzaniteone mining LTD.. Leseni ime- expire toka mwaka jana..Je waziri wa madini anaweza kuteleza Tanzaniteone mining wanachimba madini kwa leseni gani hadi leo?? na kama bado hawajapewa leseni..Serikali inampango bado wakumpa Leseni mpya huyu mwekezaji??
3.Tunaomba waziri wa mambo ya ndani atueleze inakuwaje kampuni hii ina wageni zaidi ya 60 expatriate wakati kuna watanzania wanaoweza kufanya hizo kazi??
4.Kuna mfanyakazi mmoja wa security hapa Tanzanite one mining anaitwa COLLIN..alimuua mtanzania akakaa gerezani kwa mwaka akaachiliwa akarudi south africa...Chakushangaza huyu collin amerudi hapa Tanzania nakupewa working permit tena...hamna sheria yakuzua uuaji wa raia na bado mtu anapewa tena working permmitt...
5..Naomba mwendelezo..