Chelamoche
Member
- Jun 20, 2012
- 7
- 0
Zifuatazo ni kero ambazo ningependwa zisemwe bungeni
- Wafanyakazi kutoka nje wasiokidhi viwango ukilinganisha na watanzania katika sekta ya madini
- Viongozi wa nchi kutibiwa au kufanyiwa uchunguzi wa afya nje ya nchi hata kwa magonjwa madogo badala ya kutibiwa na madaktari wetu