D
Deleted member 485868
Guest
Nyoka hata umpe dumu la maziwa atabaki kua na sumu tu,ndivyo alivyo mwanaume asietambua wala kujali THAMANI ya mwanamke...huyo hata umpe bikra bado atatafuta mwenye RAMBO kama sio fuko la Nazi
Wanawake niwaambie kujitambua ni kitu muhimu sana..maana wengi mmejisahau na kua WATUMWA kwa hao wanaume wasiokua na shukrani kwenu..unaanzaje kumpa moyo wako asiejua THAMANI yako..huo ni UGANUKI wa kiwango cha juu sana
MWANAMKE wewe ni wa thamani sana..JIPENDE...JITHAMINi..bila kusahau kumshirikisha MUNGU kwa kila jambo
Ni hayo tu..Niwatakie mchana mwema.
Wanawake niwaambie kujitambua ni kitu muhimu sana..maana wengi mmejisahau na kua WATUMWA kwa hao wanaume wasiokua na shukrani kwenu..unaanzaje kumpa moyo wako asiejua THAMANI yako..huo ni UGANUKI wa kiwango cha juu sana
MWANAMKE wewe ni wa thamani sana..JIPENDE...JITHAMINi..bila kusahau kumshirikisha MUNGU kwa kila jambo
Ni hayo tu..Niwatakie mchana mwema.