UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,593
- 8,900
Hakuwahi kusema hatokufa, halafu huwa nauliza kimebadilika nini cha maana toka aondoke au ndio Mzee makamba kuongea kwa dharau?Heri tu kwa wale wenye akili mpaka leo makanisani tunashangilia kuwa tumemkanyaga shetani na watu wanacheza lakini uovu bado upo tu,tarehe 9/12/2022 itakuwa sikukuu ya Uhuru na Jamhuri na husherekewa kila mwaka lakini mkoloni CCM yupo,hata sisi tunashangilia kufa kwa dhalimu Magufuri ingawa kifo kipo palepale,alijiona hawezi kufa amekufa na watu wanafurahia matunda ya uhuru wao yeye analiwa na mchwa na haitatokea tena Tanzania kuweka mtu kama Magufuri kila mtu amejifunza,ccm wenyewe wamejifunza.