Kwa vile harakati za kutaka kuondowa malipano yasiyokuwa na Mantiki zimeanza basi tuziendeleze. Wabunge wa CHADEMA kwa nia yoyote ile iwayo inabidi tuwashukuru kwa kutuletea mwanya wa kuweza kudadisi hii hali ya matabaka teule. HILI LA WABUNGE KULIPANA MAMILIONI YA SHILLINGI BAADA YA KIPINDI CHA MIAKA MITANO SI HAKI KABISA!
Kwa mantiki gani hasa yanalipwa malipo haya wakati miaka mitano hiyo jamaa hawa wanachezea pesa tu . Mara vikao vya kamati, mara safari za nje kuhudhuria mabunge, ndio hivyo mshahara wao unazidia kinuamgongo cha mwalimu aliechezea chaki miaka 25 huku akilipwa mshahar kwa mwezi chini ya kipato cha juu mbali ya mshahara kwa mbunge.
Tuwe wakweli kuwa wanasiasa wanatuchezea na hawako tayari kuona wananchi wenzao wanaishi angalau kwa matumaini. Kelele Bungeni eti Bajeti haimnufaishi mwananchi lakini huyu anaepiga kelele anahakikisha kuwa miaka mitano anachukua sh. 432 millioni peke yake kwa mshahara na ukijumisha na matumizi mengine kama usafiri na posho za vikao ,perdiem,safari za nje, kamati na visemina vya kiushikaji anaweza akatumia billioni moja kwa kipindi chake cha miaka5. Nafikiri hakuna investment nzuri hapa Tanzania kama siasa na ukiingia ubunge kuendelea na umasikini basi ni mgonjwa.
NAFIKIRI UMEFIKA WAKATI WANANCHI NDIO WAAMUWE MBUNGE APEWE NINI NA SIO KAMA WANAVYOFANYA SASA ETI KAMATI FULANI INAKAA NA KUAMUWA MASILAHI YAO WENYEWE.
Kwa mantiki gani hasa yanalipwa malipo haya wakati miaka mitano hiyo jamaa hawa wanachezea pesa tu . Mara vikao vya kamati, mara safari za nje kuhudhuria mabunge, ndio hivyo mshahara wao unazidia kinuamgongo cha mwalimu aliechezea chaki miaka 25 huku akilipwa mshahar kwa mwezi chini ya kipato cha juu mbali ya mshahara kwa mbunge.
Tuwe wakweli kuwa wanasiasa wanatuchezea na hawako tayari kuona wananchi wenzao wanaishi angalau kwa matumaini. Kelele Bungeni eti Bajeti haimnufaishi mwananchi lakini huyu anaepiga kelele anahakikisha kuwa miaka mitano anachukua sh. 432 millioni peke yake kwa mshahara na ukijumisha na matumizi mengine kama usafiri na posho za vikao ,perdiem,safari za nje, kamati na visemina vya kiushikaji anaweza akatumia billioni moja kwa kipindi chake cha miaka5. Nafikiri hakuna investment nzuri hapa Tanzania kama siasa na ukiingia ubunge kuendelea na umasikini basi ni mgonjwa.
NAFIKIRI UMEFIKA WAKATI WANANCHI NDIO WAAMUWE MBUNGE APEWE NINI NA SIO KAMA WANAVYOFANYA SASA ETI KAMATI FULANI INAKAA NA KUAMUWA MASILAHI YAO WENYEWE.