...chauro hili ni gumu sana kushauri kwani "siri ya mtungi....!"
huo mfano uloutolea wa kwenda dukani, kwanini udanganye kwa hilo?
Uongo utaokuepushia shari, au kuumiza hisia za mwenzio kidogo unakubalika.
Kulazimisha uongo uwe ukweli hiyo haingii akilini. Ni sawa na mtu akulazimishe ukiri
umezini nje wakati sio kweli,...eti nawe kwa kutaka kumfurahisha unajibu ee!
Ishi vile wewe unaamini utakuwa comfortable, usijilazimishe kuishi kinyume na matakwa yako,
usijegeuka mtumwa wa nafsi yako.