Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
Huwa tunahitaji nini kuwaonyesha wenzetu kuwa tunawapenda na kuwathamini?
Je huwa tunahitaji kuwadanganya mara zote ili kuwapa faraja kwa yale ambayo hatuyafanyi ili kuwamiinisha na kuendelea kutuamini wakati sivyo?
Je kuna ubaya wa kuwa mkweli kwa mwenzako?
Nahitaji sana mawazo yenu ili niweze jifunza kitu nimeanza kuamini labda uongo una faida kuliko ukweli na kitu ambacho sipendi kukiamini.
Je huwa tunahitaji kuwadanganya mara zote ili kuwapa faraja kwa yale ambayo hatuyafanyi ili kuwamiinisha na kuendelea kutuamini wakati sivyo?
Je kuna ubaya wa kuwa mkweli kwa mwenzako?
Nahitaji sana mawazo yenu ili niweze jifunza kitu nimeanza kuamini labda uongo una faida kuliko ukweli na kitu ambacho sipendi kukiamini.