poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 456
- 175
ndio mkuu
hizo imei za ndani zinafanana na zilizopo nyuma?
hizo imei za ndani zinafanana na zilizopo nyuma?
Kwaiyo hakuna crack yoyote itayonisaidia?530 ina chipset ya qualcom, kwenye nck inatoka thru main module na huwezi pata crack ya main module coz ndo module mama
Mkuu Za siku? Aisee nimebadilisha simu ya android sasa nimeshindwa kabisa kupata backup ya my contacts tofauti na huko nyuma ilikua ukiweka tu email kwa simu mpya unapata contacts zakoo... mkuu nifanyeje nipate contacts Za nyuma?
aina gani ya cmu unayotumia sahv?Mkuu Za siku? Aisee nimebadilisha simu ya android sasa nimeshindwa kabisa kupata backup ya my contacts tofauti na huko nyuma ilikua ukiweka tu email kwa simu mpya unapata contacts zakoo... mkuu nifanyeje nipate contacts Za nyuma?
Samsung galaxy s7 edgeaina gani ya cmu unayotumia sahv?
Nimefanya hayo holaafungua contacts>option button>contacts to display>weka all.. au fanya ku import contacts from ur google account to either ur sim card or device storage
Computer yangu nikiwasha inaandika WINDOW WILL EXPIRE SOON" Vp kuna njia ya kusolve bila kupiga window.
Mkuu hizi tecno N8 zenye costumized firmware ya ule mtandao pendwa wa express u're self network lock yake tunaitoa vp nmetoka kujarbu hapa kwa crack ya nck box lakini imedunda!fungua contacts>option button>contacts to display>weka all.. au fanya ku import contacts from ur google account to either ur sim card or device storage
baadhi ya cmu ambazo ni latest hasa zenye cpu kubwa kuanzia 67 huwa zinagoma kwa crack, hyo yako umepitia procedures zipi na imegoma kwa kukupa results zipi?Mkuu hizi tecno N8 zenye costumized firmware ya ule mtandao pendwa wa express u're self network lock yake tunaitoa vp nmetoka kujarbu hapa kwa crack ya nck box lakini imedunda!
Nmejarbu kwa njia ya kuflash na meta mode connection ikagoma result yake inasema error ya "imei maker was found in nvram"baadhi ya cmu ambazo ni latest hasa zenye cpu kubwa kuanzia 67 huwa zinagoma kwa crack, hyo yako umepitia procedures zipi na imegoma kwa kukupa results zipi?
Ahsante mkuu,ngoja nijaribu.Mkuu ninayo hiyo activator Ila nmejaribu kui upload hapa jamvini imegoma Ila tafuta sasa Google inaitwa KMSpico hii Ina activate windows 10 na windows 8.
Hakuna smart card pekee? Nina sigmakey yenye card readerkupitia BST DONGLE nlishatoa note3 reactivation, s6 n.k we katafute then utakuja kunambia mkuu ni ka ukweli mno
Juma wa kariakooMwenzetu yupi???