leothebest1
Member
- Dec 1, 2016
- 54
- 18
Ni hivi mara nyingi simu za huawei mfano y530 ikiwa inawaka inaandika huawei af haiendelei zaidi ya pale hapo inamaanisha lazima iwe flashed so ukienda kwa mafundi iwaambie nataka flash huawei wanasema hatuflashSidhani kama hata wewe mwenyewe umerudia ulichoandika na kukielewa mkuu