Tunafanya flashing, unlocking and repair kwenye simu

Tunafanya flashing, unlocking and repair kwenye simu

Habarini wana JF, hope mko gud mnaendelea na harakati za weekend.
Mimi ni mdau wa mobile software na mara zote huwa napenda kushare contents na skills zangu na kujifunza vitu vipya kutoka kwa wenzangu pia.

Napenda hayo yatokee kwa wana tasnia wenzangu ili tuweze kusaidiana, tunaweza kushare roms, tools, repair and unlock contents like efs,qcn,nvm, certs n.k....na tukifika mbali zaidi ili tuweze kushare ujuzi na contents kwenye tasnia..ujuzi, contents na msaada wowote, karibuni tujuzane
mkuu samahan kuwa hawa sex virus ambao huwa wanaingia kwenye sim then sim inaanza kudownload app.yenyewe vip namna ya kuwatoa
tupo pamoja mkuu
 
mkuu samahan kuwa hawa sex virus ambao huwa wanaingia kwenye sim then sim inaanza kudownload app.yenyewe vip namna ya kuwatoa
install busy box, root cmu yako then kama una nck box au avenger kuna option ya ku remove malware through adb bt kama cmu iko highly infected hawatotoka so solution hapa ni kuflash cmu(re installation of operating system)... ni aina gani ya cmu iko infected?
 
install busy box, root cmu yako then kama una nck box au avenger kuna option ya ku remove malware through adb bt kama cmu iko highly infected hawatotoka so solution hapa ni kuflash cmu(re installation of operating system)... ni aina gani ya cmu iko infected?
nina tecno,teeno na x-bo
 
Haileti imei yoyote. Ingawa ndani ya simu ukitoa betri, imei namba original ipo
hyo ina ZERO imei, kwa box kama Z3X ina option ya FIX ZERO IMEI, cjajua hasa cmu yako ina nin had ishindikane kwa mafundi wengi as u said
 
Itel 1453

toa battery kwenye cmu yako then rudisha, bonyeza power button na uishikilie na baada ya kama 3 seconds bonyeza volume down na uishikilie na cmu ikionyesha itel logo achia power na uendelee kushikilia vol down... leta mrejesho nini kimetokea
Ungempa maelezo namna ya kutumia research download maana hzo hazina option ya kuleta menu ya recovery
 
KWA UHITAJI WA ROM YOYOTE, DRIVERS, FLASH TOOLS HASA CRACKS na TUTORIALS JUST ASK AND TUTASAIDIANA WERE POSSIBLE NA MSAADA HAPA NI TOTALLY FREE
Mkuu nahitaji stock firmware ya unlocked tecno Y3+ na ya tecno m3 old version kama unazo msaada please!
 
Habari wadau...
Hope tupo poa kabisa nami angina nichangie kidogo free solutions zinaiharibu tasnia hii ya ufundi cm, jambo hili limefanya hata soko la tools nyingi kushuka kwa kiwango kikubwa. Sio soko la flashing box pekee bali mpaka kwa mafund limepungua
 
Hii nimeitoa kwenye whatsapp group la wanaijeria


PLZ NOTE FREE FLASH FILE SHARING IS STOPPED.

FREE SOLUTION SHARING IS STOPPED..

BCOS OF SUNDAY-UNLOCKERS
GSM MARKET IS GOIND DOWN EVERYDAY


COME TO THINK OF IT IF U GIVE PEOPLE FREE EVERYTIN NA WETIN U GO COME CHOP 2MARO..

PEOPLE U GAVE FILES FREE WILL USE IT AND DO CHEAP CHEAP JOBS TO CUSTOMER..

BUT IF THEY PAY FOR THAT FILES WITH BIG MONEY DEY CAN NEVER DO CHEAP WORK BCOS DEY BUY THE FILES..

ALL THOSE FREE FILE SHARING SITE ESPECIALY NIGERIAN GUYS FILE SHARING SITES.. WE NEED TO BRING IT DOWN..

AM READY TO PAY SITE HACKERS TO BRING IT DOWN..

ENOUGH IS ENOUGH

YOU AND I WILL SPEND MONEY AND BUY BOXES THEN ONE ROAD SIDE SUNDAY-UNLOCKER WILL USE FREE FILES AND SPOIL PRICE OF OUR WORK..NO WAY AGAIN....

4 DIS REASON EVERYBODY SNAP AND UPLOAD UR BOXES WILL START BY FRIDAY..ANY MEMEBER WHO FAILS TO SNAP OR FORM TOO BIGG TO SNAP I WILL DELETE YOU OR ADMIN WILL DELETE..

NO MATTER WHO YOU RE IN DIS GROUP IF U DNT SNAP I WILL DELETE YOU..

((YUSLAM,,COMPOSER,OMOBA1))
U RE IN CHARGE OF DELETING MEMBERS DNT PITY ANYBODY....

CHANGE START WITH ME..

LAST DAY TO POST IS WEDNESSDAY
28-3RD OF MAY

SAY NO TO FREE WORK.

GOODLUCK..
 
Back
Top Bottom