Tuna ugeni wa kimya kimya

Tuna ugeni wa kimya kimya

Bora hata machawa wanapiga pesa tena kwa amani kwa kusifia tu ...nyie mnaandamana mmeambulia nini zaidi ya Vifo, makesi mahakamani na matatizo Bure ..waliowaingiza kwenye maandamano wamepiga billions 🤣
Walioingiza watu kwenye maandamano ni Samia, Kikwete, Abdul, Mafwele na timu yote ya wasiojulikana(wafiraji, watekaji na wauaji) kwani bila matendo maovu ya hiki kikundi hakuna ambaye angeandamana.
 
naona hilo neno limekuuma sana 😁
Huna sera...huna hoja..maneno machafu na matusi na kejeli ndio mmebakiwa navyo....keyboard warriors
Andamaneni tena mle shaba za vichwa..hay mambo hayaitaji hasira kusolve
 
Huna sera...huna hoja..maneno machafu na matusi na kejeli ndio mmebakiwa navyo....keyboard warriors
Andamaneni tena mle shaba za vichwa..hay mambo hayaitaji hasira kusolve
katawaze kwanza ndio urud kukoment ...au ulidhani tabu ya maji wanapata waliondamana tu...tabu iko palepale
 
Ndiyo mliyonayo ..mnafikiri mipasho matusi kejeli dhihaka ndio solution na zaidi unadhani wao Wana shida wao Wana special treatment ya kupata maji masaa 24...unafikiri watanzania wote ni mafukara? Unadhani kila mtanzania ana shida ya maji ...Na zaidi you can not use that water issue as a weapon eti kuwakebehi ambao hawataki maandamano wanachagua amani ..it's fucking useless kuishiwa akili....
Katawaze kwanza ndio uje ulete uchawa jukwaani.
 
Huna sera...huna hoja..maneno machafu na matusi na kejeli ndio mmebakiwa navyo....keyboard warriors
Andamaneni tena mle shaba za vichwa..hay mambo hayaitaji hasira kusolve
Mzee si ujibu umetawaza? Kama bado achana na huu uzi usitie nuksi
 
Katawaze kwanza ndio uje ulete uchawa jukwaani.
Ndiyo mliyonayo ..mnafikiri mipasho matusi kejeli dhihaka ndio solution na zaidi unadhani wao Wana shida wao Wana special treatment ya kupata maji masaa 24...unafikiri watanzania wote ni mafukara? Unadhani kila mtanzania ana shida ya maji ...Na zaidi you can not use that water issue as a weapon eti kuwakebehi ambao hawataki maandamano wanachagua amani ..it's fucking useless kuishiwa akili....
 
Katawaze kwanza ndio uje ulete uchawa jukwaani.
katawaze kwanza ndio urud kukoment ...au ulidhani tabu ya maji wanapata waliondamana tu...tabu iko palepale
Ndiyo mliyonayo ..mnafikiri mipasho matusi kejeli dhihaka ndio solution na zaidi unadhani wao Wana shida wao Wana special treatment ya kupata maji masaa 24...unafikiri watanzania wote ni mafukara? Unadhani kila mtanzania ana shida ya maji ...Na zaidi you can not use that water issue as a weapon eti kuwakebehi ambao hawataki maandamano wanachagua amani ..it's fucking useless kuishiwa akili....
 
Ndiyo mliyonayo ..mnafikiri mipasho matusi kejeli dhihaka ndio solution na zaidi unadhani wao Wana shida wao Wana special treatment ya kupata maji masaa 24...unafikiri watanzania wote ni mafukara? Unadhani kila mtanzania ana shida ya maji ...Na zaidi you can not use that water issue as a weapon eti kuwakebehi ambao hawataki maandamano wanachagua amani ..it's fucking useless kuishiwa akili....
tukuletee gunzi utawaze mkuu .....au gongo itakufaa zaidi mtu mzima hutawazi si jambo zuri asee....maendeleo hayana chama 😁
 
Sijaelewa kitu, isitoshe kuna wahuni wamevamia na kubadilisha dhana/maudhui ya uzi
 
Oya tafuteni konekshen za pesa ..achaneni na umbeya
oya, acha kufuatilia wambeya, rudi kwenye konekshen zako za pesa, unatuita kwa nn, .... mkiwa wachache huko si ndio utapiga sana mapene, baki huko, unafanya nn humu ???
 
Back
Top Bottom