Tuna ugeni wa kimya kimya

Tuna ugeni wa kimya kimya

Maoni haya yanafikirisha sana. Afrika ya KusinI wasingepambana, wangekuwa bado wanaishi kwenye ubavu I wa rangi. Walifungwa, waliuwawa lakini hawa kuacha mapambano.
Sijajua jamii yetu ni jamii ya namna gani ndo maana mashoga wanaongezeka sana hasa hawa madogo wa mbogamboga maana wapo tayari kwa lolote
 
Huna sera...huna hoja..maneno machafu na matusi na kejeli ndio mmebakiwa navyo....keyboard warriors
Neno Lipi hapo limekukera? Sera yenu ni kufanya watu wasitawaze kwa kuwanyima maji?
 
Neno Lipi hapo limekukera? Sera yenu ni kufanya watu wasitawaze kwa kuwanyima maji?
Ndiyo mliyonayo ..mnafikiri mipasho matusi kejeli dhihaka ndio solution na zaidi unadhani wao Wana shida wao Wana special treatment ya kupata maji masaa 24...unafikiri watanzania wote ni mafukara? Unadhani kila mtanzania ana shida ya maji ...Na zaidi you can not use that water issue as a weapon eti kuwakebehi ambao hawataki maandamano wanachagua amani ..it's fucking useless kuishiwa akili....
 
Tupatie hizo connection za pesa mkuu
Haya ndio mambo tunatakiwa tuulizane na kuambizana ..sio unaniambia eti niandamane halafu huku pembeni umewekewa bilioni kwenye akaunti ..
 
Bora hata machawa wanapiga pesa tena kwa amani kwa kusifia tu ...nyie mnaandamana mmeambulia nini zaidi ya Vifo, makesi mahakamani na matatizo Bure ..waliowaingiza kwenye maandamano wamepiga billions 🤣
shekhe sharif majini nae anapiga pesa ama yuko wapi
 
Back
Top Bottom