Tuna ugeni wa kimya kimya

Tuna ugeni wa kimya kimya

Bora hata machawa wanapiga pesa tena kwa amani kwa kusifia tu ...nyie mnaandamana mmeambulia nini zaidi ya Vifo, makesi mahakamani na matatizo Bure ..waliowaingiza kwenye maandamano wamepiga billions 🤣
Mbona mimi sijapata kesi wala sijafa wala sijaumia na kuhusu hao machawa mbona huzungumizii wale mliotatuliwa marinda na matapeli waliojifanya wanawafanyia vetting ya teuzi
 
Bora hata machawa wanapiga pesa tena kwa amani kwa kusifia tu ...nyie mnaandamana mmeambulia nini zaidi ya Vifo, makesi mahakamani na matatizo Bure ..waliowaingiza kwenye maandamano wamepiga billions 🤣
Mabiiiiiiii
 
Bora hata machawa wanapiga pesa tena kwa amani kwa kusifia tu ...nyie mnaandamana mmeambulia nini zaidi ya Vifo, makesi mahakamani na matatizo Bure ..waliowaingiza kwenye maandamano wamepiga billions 🤣
Maoni haya yanafikirisha sana. Afrika ya KusinI wasingepambana, wangekuwa bado wanaishi kwenye ubaguzi wa rangi hadi leo. Walifungwa, waliuwawa lakini hawakuacha mapambano.
 
Back
Top Bottom