Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,122
- 14,901
Umeshindwa kuficha mapenzi uliyonayo juu ya CHADEMA.
MSALANI kila siku kwenye LB7 caucus pale Lumumba tunasema jadili hoja na siyo eti mleta hoja ana mapenzi na CDM.
Kwa mtindo huu tutapokea hiyo Ipad ya chama tumpe hata Doto Rangimoto manake wewe umeshindwa kazi.
Kumbuka boss wetu alishasema
Dawa yenu watu wa aina ya ifweero na MSALANI,ni kuwafungia ID zilizofunguliwa na chama tu. Hamtetei chama badala yake mnaweka mbele matusi,kejeli,fitina na maneno ya maudhi. Operesheni iko njiani. Mtaingia na vi-ID vyenu muda si mrefu. Jifunzeni kujadili hoja na si mleta hoja.Ndivyo mnavyoambiwa chamani. Hamsikii.Dawa yenu iko jikoni
Mzee Tupatupa
au hukusoma?
Last edited by a moderator: