Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Hata tusio na vyama tumejifunza..
Uko wapi we mpuuzi!Wewe na huyo unayemuita BOSS ni wajinga tu! Mimi siko huko huko unakodhani!
Si umepanga geto la giza la sh 18000 eneo la Ngalelo sokoni!Huyo Mwehu mwenzenu Tupa tupa anafahamu napatikana kona ipi katika jiografia ya nchi hii? Au anapiga porojo tu kuwafurahisha?
Mzee tupa tupa VUTA-NKUVUTE mm na familia yangu tunakupongeza kwa kuusema Ukweli wenyewe!
Mm na familia yangu tunaomba mkuu VUTA-NKUVUTE hebu fanyia kazi ule ujumbe wako wa kukusanya vile vitendea kazi vya lumumba vinavyo tumiwa na akina MSALANI, Ritz, Simiyu Yetu, na hata ile ya mwenezi wenu MwanaDiwani.
vuta nikuvute mganga njaa hakuna cha kujifunza hapo..
Utaporwa tablet...shauriyo
Umeshindwa kuficha mapenzi uliyonayo juu ya CHADEMA.