Tuna cha kujifunza kutoka CHADEMA

Tuna cha kujifunza kutoka CHADEMA

Hata wewe si utoe angalau kapongeze? hata kusema kidogo kuhusu watu kutembeza bahasha halipo Chadema linakushinda kulisemehea rafiki yangu?
Umeshindwa kuficha mapenzi uliyonayo juu ya CHADEMA.
 
Ilani ya chadema ilikuwa ni kuhakikisha kuwa nchi haitawaliki labda hujui vema unachokisema.

CHADEMA walinadi kwenye uchaguzi na ilani kuandika katiba mpya,wapi kwenye ilani ya CCM??!! Sasa hivi wanatekeleza mchakato wa ilani ya CHADEMA ila kwa kuchakachua mchakato,sio unafiki??!!

CHADEMA walinadi kutoa elimu ya secondary bure,wapi CCM?! Sasa wanataka kutoa elimu bure wakati walisema haiwezekani,sio unafiki??!!

MSALANI,hautofautiani na mdudu anayeishi MSALANI kwa kukumbatia uchafu na kuutetea!
 
Last edited by a moderator:
Huyo ndiyo Mzee Tupa Tupa wa Lumumba.

Huwa napata shida Sana ninapowasoma vijana wake hapa mtandaoni, maana wao hakuna la maana wanaloweza kulijadili kwa maendeleo ya Chama au ya taifa. Wao Ni kujadili watu Tu (watoa hoja). Hapa ukimsoma mzee Tupa Tupa unajifunza jambo, kwamba bado wamebaki wanaoweza kuwaza vema ndani ya Lumumba.
 
Sijaona cha kujifunza kutoaka chadema zaidi ya ukabila ,ukanda na kufanya vurugu ambazo siyo za lazima.

Matatizo ulonayo ni ya kujitkia. Ni kama mjinga ambaye ana mwalimu wa kutoa ujinga wake,but hataki mwenywe ujinga umtoke. Kwa hio hayo matatizo ya kujitoa ufahamu, umejitakia, hatuna namnaya kukusadia.
 
Mzee tupa tupa VUTA-NKUVUTE mm na familia yangu tunakupongeza kwa kuusema Ukweli wenyewe!

Mm na familia yangu tunaomba mkuu VUTA-NKUVUTE hebu fanyia kazi ule ujumbe wako wa kukusanya vile vitendea kazi vya lumumba vinavyo tumiwa na akina MSALANI, Ritz, Simiyu Yetu, na hata ile ya mwenezi wenu MwanaDiwani.
 
Last edited by a moderator:
vuta nikuvute mganga njaa hakuna cha kujifunza hapo..
 
Walipoiga mavazi gamba kijani ndo nikajua hamnazo kabisa. Juzi tu rais wao anarudia.....waliyokataa 2010 hat kwa matangazo kupitia chanel 10 kuwa "elimu bule haiwezekani".
 
MSALANI kila siku kwenye LB7 caucus pale Lumumba tunasema jadili hoja na siyo eti mleta hoja ana mapenzi na CDM.
Kwa mtindo huu tutapokea hiyo Ipad ya chama tumpe hata Doto Rangimoto manake wewe umeshindwa kazi.
Kumbuka boss wetu alishasema


au hukusoma?

Wewe na huyo unayemuita BOSS ni wajinga tu! Mimi siko huko huko unakodhani!
 
Back
Top Bottom