Taarifa za saa 2 usiku huu toka Televisheni za TBC1, ITV na StarTV zinapishana. Pamoja na kwamba, kimsingi, ITV na StarTV wanaonyesha kuwa ufauru umeshuka (StarTV wanaonyesha ~ 22%, ITV kadri ya 50%), TBC1 wanaonyesha ufauru umeongezeka. Kama mimi sijaelewa, naomba mnisaidie jamani. Sasa uchakachuaji hadi kwenye matokeo jamani?