Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Tanzania, Tanzania .
Tanzania ni nchi nzuri yenye vyanzo na vitu vingi ambavyo tunaweza kujivunia kwa kujitangaza na kuweza kuendelea na kuwa katika ramani ya dunia katika utalii. kuna vitu vingi sana vinaendelea duniani na vinaihusu TANZANIA pamoja na WATANZANIA kwa njia moja au nyingine ambapo vinahitaji msukumo kutoka kwa wananchi hata kama serikari inafumbia macho.
MISS AFRICA UNITED STATES, tunae mtanzania ambaye amesimama kwa gharama zake kuiwakilisha nchi bila msaada wowote kutoka serikarini, na bado anaomba msaada kwa wananchi kuweza kupigiwa kura.
Angalia hii..........wewe ni mtanzania mwenye uchungu na nchi yako, ingia kwenye link hapo chini then angalia RACHEL TEMU ( Tanzania ) kura alizonazo na watu kutoka nchi zingine za africa ambao wanashiriki, tupo kwenye TECHNOLOGY kama nchi nyingine za africa, tuna uchungu na nchi yetu kama na inaweza ikawa zaidi ya nchi nyingine za africa .
NOW MTANZANIA UTAKAYEPATA E MAIL HII....FORWARD UTAKAVYOWEZA NA HAKIKISHA KILA UKIINGIA KWENYE MAIL YAKO AU KILA SIKU PIGA KULA KWA MTANZANIA MISS AFRICA USA (RACHEL TEMU) THEN TUANGALIE KAMA TUTASHINDWA??
SUPPORT MTANZANIA....PIGA KURA MPAKA AONGOZE.........GONGA LINK HAPO CHINI THEN INGIA NA MPIGIE KURA RACHEL TEMU, IPIGIE KURA BENDERA YAKO MTANZANIA.
GONGA HAPA http://www.missafricaunitedstates.com/mausa/vote.htm
Tumuunge mkono kwasababu ni Mtanzania au tumuunge mkono kwasababu she is the most qualified person? Mshindi atakuwa ni muwakilishi wa Africa, kama kuna mtu anasifa zaidi yake kwanini nisimpigie kura ili Africa ipate muwakilishi bora zaidi?
Sina nia mbaya ila ninaomba ushauri kabla sijapiga kura yangu.
U have no idea MWK!! i saw the photo of Rachel kwa Michuzi, she is not the type of a girl that i would vote for!!Very unattractive indeed!! Mwafrika wa Kike i urge u to do the same for the Miss Tz of this year competing against a bunch of the world most skinny girl, thats where i'm gonna pay attention!!Thats where being a Tz counts!! Anayetaka ampigie asiyetaka naye poa just dont play pushy!!
I don't know about you guys.. but I think this one Maria Kiyungu should represent both Tanzania and Burundi (we in the same EA Community after all).. I think she is over qualified and she got the "Kilimanjaro - to the Roof of Africa" thing going on ... don't you think so?
Masatu.. usimwalike brazameni.. maana atageuza topiki.. hii inahusu mwakilishi wa Tanzania.. sasa yule wa kwatu hata haoneshi mlima Kobelo.. lakini huyu jirani yetu anaonesha "Mlima Kilimanjaro".. so.. naona tumpigie debe huyu huyu awakilishe nchi zetu mbili..
Masatu.. usimwalike brazameni.. maana atageuza topiki.. hii inahusu mwakilishi wa Tanzania.. sasa yule wa kwatu hata haoneshi mlima Kobelo.. lakini huyu jirani yetu anaonesha "Mlima Kilimanjaro".. so.. naona tumpigie debe huyu huyu awakilishe nchi zetu mbili..
that said, kwa vile sidhani kama wanaweza kubadili utaratibu wao... nimeshampigia kula Temu.. if for anything else.. kuna bendera ya Tanzania chini ya picha yake..
duh ! haya lakini pia itakuwa vizuri vile vile yule Richard sijui nani ndani ya big braza aungwe mkono ! ni ushauri tu !
dadangu we.. mimi na wabongo wenzangu tu vingine hivyo fahari ya macho tu.. anyway.. nadhani milima isiyooneshwa ndiyo inayowafanya watu kama kina Livingstone kuifungiaga safari.. Mtu unaweza kujikuta unashabikia kichuguu (no pun intended) ukidhania ni milima!! so.. Go TEMU.. go Tanzania..! and Go Taifa Stars!!
kwani huyu si ndiyo yule mdogo wa Hoyce Temu(ex miss tz aliye olewa kinyemela) amabye alishiriki miss arusha kama mara mbili??