Tumshauri Zitto...

Status
Not open for further replies.

Umenena mkubwa.
 
kwasababu humjui zitto ndiyo maana unaongea haya lakini wakati utatuambia tu.

Mbona huelweki mkuu au umeandika kwa kuwa unajua kusoma na kuandika ?!! Kama washauri wa Zito ndo hawa unategemea nini !!.
 
Mkuu popote Zitto atakakokwenda lazma atingishe mkuu, zitto ana karisma
 
CDM ikafa hata wasaliti watakufa na njaa, maana si ni chanzo kikuuu cha mapato??? mtasaliti nini wazazi wenu???
 

mkuu la kuvunda halina ubani
 
zitto akifukuzwa chadema haitokufa bali itapotea kwenye siasa kama nccr mageuzi.tlp na cuf
 
CCM wanamvimbisha kichwa ZZK ili apotee katika siasa lengo lao ni CDM kuanguka.

Wana CCM hawana muda wakujadili hali ya chama chao na serikali yao. CCM na serikali ni vurugu tupu, mara magamba , mara kuna mawaziri mizigo.

Mpambeni ZZK mpaka achanganyikiwe, mimi nampa ushauri tu wa kupima hali yake kisiasa ndania ya chama chake.
 
Zito anapambana na watu waliofanikiwa badala ya kujifunza kwao.
 
zitto akifukuzwa chadema haitokufa bali itapotea kwenye siasa kama nccr mageuzi.tlp na cuf

makalio yameruhusiwa rasmi kutumika kwa kazi ambazo kichwa kilikuwa kinafanya, hivyo tuona na kusikia mengi. Nyerere alikufa TZ ipo, itakuwa huyu kijana?? achene makalio nayo yatanue vichwa viko likizo.
 
Uongozi wa cdm ulifanya makosa makubwa sana kumuadhibu mh huyu nusunusu sasa they have to pay a price kwa maamuzi yao mabovu na ya hovyo kabisa. Nasema wacha waonje joto ya jiwe ili huko mbeleni wasijerudia makosa haya tena.
 
ZZK kiburi kitampoteza.

Suburini tu.
 
wewe mwenyewe ni chadema chumbani kwahiyo lazima utametetea slaa ili upate chakula lakini ukweli bila zitto hakuna chadema kabisa.
 
kosa lake lipi kikatiba au manjonjo tu hapa na uhafidhina
..unajua maana ya uhafidhina...kuso lake ukiacha mengine ni kuleta utengeno badala ya umoja....kwa sasababu ya njaa ya fedha...with poor egoisim
 
makalio yameruhusiwa rasmi kutumika kwa kazi ambazo kichwa kilikuwa kinafanya, hivyo tuona na kusikia mengi. Nyerere alikufa TZ ipo, itakuwa huyu kijana?? achene makalio nayo yatanue vichwa viko likizo.

matusi hayasaidii lakini zitto ndiye kakuza chadema anauwezo wa kuiua kwa mikono yake mwenyewe.
 
cha ajabu yeye kimyaaa, nyinyi ndio kutwa kumsemasema!

kwako yupo kimya..eh.Akionge aitakuweje?Sasa hivi anamwaga chuki zake dhini ya wachaga, huku akijidai kuwa ana devide and rule wachaga..haha.What a useless move.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…