Upo sahihi.1. Hana Maono,
2.Uwezo wa kujenga HOJA na kutetea HOJA ni mdogo,
3. Usimamizi wa raslimali za umma ni mdogo,
4. Uwezo wa Kupambana na RUSHWA ni chini.
5. Uwezo na uthubutu wa kufanya maamuzi Kwa wakati uko chini .
6. Hashauriki, issue ya Ngorongoro, Bandari, Tume huru na Katiba mpya kabla ya Uchaguzi, ni baadhi tu ya mifano michache.
Tuweke vyama pembeni, 2025 ni Bora akapumzika mchakato ukafanyika apatikane mtu sahihi.