Tumshauri Rais Samia aachie madaraka 2025 au agombee?

1. Hana Maono,

2.Uwezo wa kujenga HOJA na kutetea HOJA ni mdogo,

3. Usimamizi wa raslimali za umma ni mdogo,

4. Uwezo wa Kupambana na RUSHWA ni chini.

5. Uwezo na uthubutu wa kufanya maamuzi Kwa wakati uko chini .

6. Hashauriki, issue ya Ngorongoro, Bandari, Tume huru na Katiba mpya kabla ya Uchaguzi, ni baadhi tu ya mifano michache.

Tuweke vyama pembeni, 2025 ni Bora akapumzika mchakato ukafanyika apatikane mtu sahihi.
Upo sahihi.
 
Wana JF, walaam.

Naenda moja kwa moja kwenye mada.

Kila nikiangalia siasa zinavyokwenda, ni hakika Samia hataweza kutoboa ila kwa njia ya kumwaga damu. Atatumia nguvu sana ili kurudi ikulu.

Kuna vielementi vingi sana ninavyo viona vitakavyo mnyima kura.

1. Hana kambi ya kumpigania kufa kupona. yuko na chawa tu ambao wao wanafuata upepo tu. Kifupi hajatengeneza timu yake kwenye Siasa.

2. Kuna jamii bado kabisa haiamini kutawaliwa na mwanamke, inatawaliwa tu by the way.

3. Bandari, narudia tena, Bandari. Hii ni issue kubwa sana linapokuja swala la kampeni.

4. Wamasai, nawahakikishia hapa napo ni kazi mno. Kanda ya kazikazini hapa wanasema mzanzibari kawafukuza watanganyika kwenye ardhi yao.

5. Kujenga hoja. Samia hana haiba ya kujenga hoja na wananchi wakamsikiliza. Itakuwa ngumu sana kupangua makombola ya wapinzani. Wakati wa uchaguzi watu wanahitaji mzuka yaani, mtu akiongea iwe kwikwi.. ni kama umuone Ester Bulaya ama Mdee wanaongea, utawasikiliza tu. Ila kumsikiliza Samia ni mpaka uwe na maslahi na speech yake..kama May Mosi vile.

6. Muungano; Huu muungano wetu unafanya mgombea kutoka zanzibar aonekane kama mvamizi, Muungano unatakiwa ufanyiwe marekebisho. Bila kuurekebisha mtu kutoka zanzibar ni ngumu sana kupata kura huku bara. Kama anamchanganyiko wa ubara na Uzanzibari anaweza akapata.

Sawali; Je, CCM wamshauri aachie ngazi kimya kimya ama wamupeleke tu hivyo arudi ikulu kwa kumwaga damu?
Aachie
 
Wana JF, walaam.

Naenda moja kwa moja kwenye mada.

Kila nikiangalia siasa zinavyokwenda, ni hakika Samia hataweza kutoboa ila kwa njia ya kumwaga damu. Atatumia nguvu sana ili kurudi ikulu.

Kuna vielementi vingi sana ninavyo viona vitakavyo mnyima kura.

1. Hana kambi ya kumpigania kufa kupona. yuko na chawa tu ambao wao wanafuata upepo tu. Kifupi hajatengeneza timu yake kwenye Siasa.

2. Kuna jamii bado kabisa haiamini kutawaliwa na mwanamke, inatawaliwa tu by the way.

3. Bandari, narudia tena, Bandari. Hii ni issue kubwa sana linapokuja swala la kampeni.

4. Wamasai, nawahakikishia hapa napo ni kazi mno. Kanda ya kazikazini hapa wanasema mzanzibari kawafukuza watanganyika kwenye ardhi yao.

5. Kujenga hoja. Samia hana haiba ya kujenga hoja na wananchi wakamsikiliza. Itakuwa ngumu sana kupangua makombola ya wapinzani. Wakati wa uchaguzi watu wanahitaji mzuka yaani, mtu akiongea iwe kwikwi.. ni kama umuone Ester Bulaya ama Mdee wanaongea, utawasikiliza tu. Ila kumsikiliza Samia ni mpaka uwe na maslahi na speech yake..kama May Mosi vile.

6. Muungano; Huu muungano wetu unafanya mgombea kutoka zanzibar aonekane kama mvamizi, Muungano unatakiwa ufanyiwe marekebisho. Bila kuurekebisha mtu kutoka zanzibar ni ngumu sana kupata kura huku bara. Kama anamchanganyiko wa ubara na Uzanzibari anaweza akapata.

Sawali; Je, CCM wamshauri aachie ngazi kimya kimya ama wamupeleke tu hivyo arudi ikulu kwa kumwaga damu?
Uchaguzi wa nini na wakati mshindi anaajulikana tayari? Watu mnajitoaga ufahamu? Hivi nani wa kupambana na samia? KWa hoja zipi? Kwa mvuto gani?
 
Wana JF, walaam.

Naenda moja kwa moja kwenye mada.

Kila nikiangalia siasa zinavyokwenda, ni hakika Samia hataweza kutoboa ila kwa njia ya kumwaga damu. Atatumia nguvu sana ili kurudi ikulu.

Kuna vielementi vingi sana ninavyo viona vitakavyo mnyima kura.

1. Hana kambi ya kumpigania kufa kupona. yuko na chawa tu ambao wao wanafuata upepo tu. Kifupi hajatengeneza timu yake kwenye Siasa.

2. Kuna jamii bado kabisa haiamini kutawaliwa na mwanamke, inatawaliwa tu by the way.

3. Bandari, narudia tena, Bandari. Hii ni issue kubwa sana linapokuja swala la kampeni.

4. Wamasai, nawahakikishia hapa napo ni kazi mno. Kanda ya kazikazini hapa wanasema mzanzibari kawafukuza watanganyika kwenye ardhi yao.

5. Kujenga hoja. Samia hana haiba ya kujenga hoja na wananchi wakamsikiliza. Itakuwa ngumu sana kupangua makombola ya wapinzani. Wakati wa uchaguzi watu wanahitaji mzuka yaani, mtu akiongea iwe kwikwi.. ni kama umuone Ester Bulaya ama Mdee wanaongea, utawasikiliza tu. Ila kumsikiliza Samia ni mpaka uwe na maslahi na speech yake..kama May Mosi vile.

6. Muungano; Huu muungano wetu unafanya mgombea kutoka zanzibar aonekane kama mvamizi, Muungano unatakiwa ufanyiwe marekebisho. Bila kuurekebisha mtu kutoka zanzibar ni ngumu sana kupata kura huku bara. Kama anamchanganyiko wa ubara na Uzanzibari anaweza akapata.

Sawali; Je, CCM wamshauri aachie ngazi kimya kimya ama wamupeleke tu hivyo arudi ikulu kwa kumwaga damu?
CCM kuendelea kubaki madarakani haitegemei kupigiwa Kura na mtu yoyote yule ktk Uchaguzi wa Siasa hapa Tanzania.

Anyway, hata kama Rais SSH ataamua kuacha kugombea Urais, bado matatizo yote ya Kiutawala yaliyopo hivi Sasa hapa Tanzania yataendelea kuwepo kwa sababu kiini Cha kuwepo kwa matatizo hayo siyo Rais SSH bali yanatokana na uwepo wa Katiba mbaya ya nchi ambayo ipo pamoja na kuwa na Chama tawala kibaya na kisichofaa, the presence of bad ruling party of CCM.
 
1. Hana Maono,

2.Uwezo wa kujenga HOJA na kutetea HOJA ni mdogo,

3. Usimamizi wa raslimali za umma ni mdogo,

4. Uwezo wa Kupambana na RUSHWA ni chini.

5. Uwezo na uthubutu wa kufanya maamuzi Kwa wakati uko chini .

6. Hashauriki, issue ya Ngorongoro, Bandari, Tume huru na Katiba mpya kabla ya Uchaguzi, ni baadhi tu ya mifano michache.

Tuweke vyama pembeni, 2025 ni Bora akapumzika mchakato ukafanyika apatikane mtu sahihi.
wewe mwenye miwani ya maono hatutakupa, tutampa yeye mitano tena
 
Wana JF, walaam.

Naenda moja kwa moja kwenye mada.

Kila nikiangalia siasa zinavyokwenda, ni hakika Samia hataweza kutoboa ila kwa njia ya kumwaga damu. Atatumia nguvu sana ili kurudi ikulu.

Kuna vielementi vingi sana ninavyo viona vitakavyo mnyima kura.

1. Hana kambi ya kumpigania kufa kupona. yuko na chawa tu ambao wao wanafuata upepo tu. Kifupi hajatengeneza timu yake kwenye Siasa.

2. Kuna jamii bado kabisa haiamini kutawaliwa na mwanamke, inatawaliwa tu by the way.

3. Bandari, narudia tena, Bandari. Hii ni issue kubwa sana linapokuja swala la kampeni.

4. Wamasai, nawahakikishia hapa napo ni kazi mno. Kanda ya kazikazini hapa wanasema mzanzibari kawafukuza watanganyika kwenye ardhi yao.

5. Kujenga hoja. Samia hana haiba ya kujenga hoja na wananchi wakamsikiliza. Itakuwa ngumu sana kupangua makombola ya wapinzani. Wakati wa uchaguzi watu wanahitaji mzuka yaani, mtu akiongea iwe kwikwi.. ni kama umuone Ester Bulaya ama Mdee wanaongea, utawasikiliza tu. Ila kumsikiliza Samia ni mpaka uwe na maslahi na speech yake..kama May Mosi vile.

6. Muungano; Huu muungano wetu unafanya mgombea kutoka zanzibar aonekane kama mvamizi, Muungano unatakiwa ufanyiwe marekebisho. Bila kuurekebisha mtu kutoka zanzibar ni ngumu sana kupata kura huku bara. Kama anamchanganyiko wa ubara na Uzanzibari anaweza akapata.

Sawali; Je, CCM wamshauri aachie ngazi kimya kimya ama wamupeleke tu hivyo arudi ikulu kwa kumwaga damu?
Hiyo Research umeifanyia wapi?

Ati hana wakumpigania, halafu nani akae hapo?



Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
CCM hawategemei sanduku la Kura, Kwa katiba hii hata mwijaku na Baba levo wanashinda asubuhi saa 4
 
Wana JF, walaam.

Naenda moja kwa moja kwenye mada.

Kila nikiangalia siasa zinavyokwenda, ni hakika Samia hataweza kutoboa ila kwa njia ya kumwaga damu. Atatumia nguvu sana ili kurudi ikulu.

Kuna vielementi vingi sana ninavyo viona vitakavyo mnyima kura.

1. Hana kambi ya kumpigania kufa kupona. yuko na chawa tu ambao wao wanafuata upepo tu. Kifupi hajatengeneza timu yake kwenye Siasa.

2. Kuna jamii bado kabisa haiamini kutawaliwa na mwanamke, inatawaliwa tu by the way.

3. Bandari, narudia tena, Bandari. Hii ni issue kubwa sana linapokuja swala la kampeni.

4. Wamasai, nawahakikishia hapa napo ni kazi mno. Kanda ya kazikazini hapa wanasema mzanzibari kawafukuza watanganyika kwenye ardhi yao.

5. Kujenga hoja. Samia hana haiba ya kujenga hoja na wananchi wakamsikiliza. Itakuwa ngumu sana kupangua makombola ya wapinzani. Wakati wa uchaguzi watu wanahitaji mzuka yaani, mtu akiongea iwe kwikwi.. ni kama umuone Ester Bulaya ama Mdee wanaongea, utawasikiliza tu. Ila kumsikiliza Samia ni mpaka uwe na maslahi na speech yake..kama May Mosi vile.

6. Muungano; Huu muungano wetu unafanya mgombea kutoka zanzibar aonekane kama mvamizi, Muungano unatakiwa ufanyiwe marekebisho. Bila kuurekebisha mtu kutoka zanzibar ni ngumu sana kupata kura huku bara. Kama anamchanganyiko wa ubara na Uzanzibari anaweza akapata.

Sawali; Je, CCM wamshauri aachie ngazi kimya kimya ama wamupeleke tu hivyo arudi ikulu kwa kumwaga damu?
Aachie tu kwa kweli, tumechoka sana
 
Wana JF, walaam.

Naenda moja kwa moja kwenye mada.

Kila nikiangalia siasa zinavyokwenda, ni hakika Samia hataweza kutoboa ila kwa njia ya kumwaga damu. Atatumia nguvu sana ili kurudi ikulu.

Kuna vielementi vingi sana ninavyo viona vitakavyo mnyima kura.

1. Hana kambi ya kumpigania kufa kupona. yuko na chawa tu ambao wao wanafuata upepo tu. Kifupi hajatengeneza timu yake kwenye Siasa.

2. Kuna jamii bado kabisa haiamini kutawaliwa na mwanamke, inatawaliwa tu by the way.

3. Bandari, narudia tena, Bandari. Hii ni issue kubwa sana linapokuja swala la kampeni.

4. Wamasai, nawahakikishia hapa napo ni kazi mno. Kanda ya kazikazini hapa wanasema mzanzibari kawafukuza watanganyika kwenye ardhi yao.

5. Kujenga hoja. Samia hana haiba ya kujenga hoja na wananchi wakamsikiliza. Itakuwa ngumu sana kupangua makombola ya wapinzani. Wakati wa uchaguzi watu wanahitaji mzuka yaani, mtu akiongea iwe kwikwi.. ni kama umuone Ester Bulaya ama Mdee wanaongea, utawasikiliza tu. Ila kumsikiliza Samia ni mpaka uwe na maslahi na speech yake..kama May Mosi vile.

6. Muungano; Huu muungano wetu unafanya mgombea kutoka zanzibar aonekane kama mvamizi, Muungano unatakiwa ufanyiwe marekebisho. Bila kuurekebisha mtu kutoka zanzibar ni ngumu sana kupata kura huku bara. Kama anamchanganyiko wa ubara na Uzanzibari anaweza akapata.

Sawali; Je, CCM wamshauri aachie ngazi kimya kimya ama wamupeleke tu hivyo arudi ikulu kwa kumwaga damu?
Pia kimaadili amefunguliwa, dada wa Marekani amemuumbua sana
 
Samia ana sapaoti ya Chama cha Mapinduzi. Na upinzani hauna nguvu Hilo linatosha kumpa urais
Mnajidanganya sana mnaposema upinzani hauna nguvu. kama ingekuwa ni kweli CCM wasingekuwa wanahangaika kuiba kura usiku na mchana. Ni ukweli kabisa Watanganyika wengi hawapendi kuongozwa na Mzenji. Na hii ya Maza kuwapa mpaka kazi za Ukuu wa Mikoa na Wilaya ndiyo kabisa inamharibia!!
 
CCM hawategemei sanduku la Kura, Kwa katiba hii hata mwijaku na Baba levo wanashinda asubuhi saa 4

Hii kauli ya kusema CCM hawategemei sanduku la kura kushinda ni dharau kubwa sana kwa wananchi.
Ni dhuruma kubwa sana 😭
Ni jambo lenye kumchukiza Mwenyezi Mungu mno.

Kama ni kweli wajifafakali na vizazi vyao kuhusu ghadhabu na laana toka kwa Allah na Jehova.
 
Back
Top Bottom