- Thread starter
- #21
Hoja hii ni kwaajili ya wenye akili. Wanaoweza kuona mambo hata yaliyo nyuma ya pazia.Hakuwekwa ndani kwa kudai katiba, kudai katiba ni haki ya wananchi ila kwa kufuata sheria na mda mwafaka. Sababu aliyosema Mama ndiyo husika, acha mahakana ifanye kazi yake.