Tumia nguvu iliyo ndani yako

Tumia nguvu iliyo ndani yako

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,961
Nawasalimia wana JF wote wazima,

Leo ninapenda kuongelea nguvu tuliyo nayo ndani yetu jinsi inavyo weza kufanya maajabu. Wengi wetu tunajua au tumefundishwa kuwa binadamu au watu tuko katika sehemu tatu Mwili, nafsi na roho.

Na tumekuwa tukitumia misemo mingi kuongelea ukweli kuhusu who real we are. Mfano tunatumia msemo kusema mwili wa marehemu utazikwa leo. Lakini tunashindwa kuelewa je marehemu anaye miliki huo mwili yupo wapi.

Sitaki kupoteza mda kutoa maelezo marefu.Sisi katika physical ni taswira tu yetu sisi. Lakini sisi kwa uhalisia tumetokana na evolution ya mda mrefu ya consciousness zetu.

Kwamba sisi uhalisia wetu ni consciousness na huwa inauwezo mkubwa sana. Kama ukiwa unapata mda wa kukaa kimya sehemu tulivu utakuwa na uwezo wa kuongea na consciousness yako.

Na pale utakapokuwa na uwezo wa kuaccess consciousness utajua siri nyingi katika maisha.Unajua kitu cha kwanza, sometimes consciousness zetu huwasilisha ujumbe kwa njia ya wazo kwa kutumia spiritual voice.

Na kama uko karibu na consciousness yako utajua na kuielewa hiyo souti. Baada ya kuifahamu hiyo sauti unakuwa na ujasiri wakuongea kitu na kinatokea kwakuwa unajua hakika kuhusu consciousness yako.

Unaweza ukawa na uwezo mkubwa wa ushawishi au kufanya programming nk. Hii tu kwamba upo karibu na nafsi yako. Ni vyema sasa tukajifunza namna ya kuwa karibu na consciousness zetu.

Tutajua vitu vingi sana na kuwa na ujasiri wa kufanya wonders
 
NAPINGA HOJAAAAAAA! Concious is just a feeeling and it will never amount to anything more than a MERE FEELING.
 
NAPINGA HOJAAAAAAA! Concious is just a feeeling and it will never amount to anything more than a MERE FEELING.
feelings iko kwenye kitu kinachoitwa unconsciousness ambacho kinamuunganiko wa moja kwa moja na milango mitano ya fahamu. Lakini consciousness iko na muunganiko wa moja kwa moja muono wa mtu katika ulimwengu wa more than 3 dimension.

Yaani aetheric body. Na inauwezo wa kufungua jicho la tatu na kumfanya mtu awe psychic. Vile vile inamfanya mtu ajue reality.
 
feelings iko kwenye kitu kinachoitwa unconsciousness ambacho kinamuunganiko wa moja kwa moja na milango mitano ya fahamu. Lakini consciousness iko na muunganiko wa moja kwa moja muono wa mtu katika ulimwengu wa more than 3 dimension.

Yaani aetheric body. Na inauwezo wa kufungua jicho la tatu na kumfanya mtu awe psychic. Vile vile inamfanya mtu ajue reality.

MAYBE, MYBE NOT! Mi nachosema it is just a feeling in the sense that YOU CAN NOT SEE, TOUCH OR HEAR IT.

It is something we believe it to be there, IT MIGHT NOT EVEN BE THERE. Manake unakuta muuaji anaua mara 1, concious inamtisha tisha, then akikaza akaua mara 2, 3 anagundua CONSCIOUS IS A CAMOUFLAGE. Just his mind playing tricks on him.

Like i said MAYBE OR MAYBE NOT this is true.
 
MAYBE, MYBE NOT! Mi nachosema it is just a feeling in the sense that YOU CAN NOT SEE, TOUCH OR HEAR IT.

It is something we believe it to be there, IT MIGHT NOT EVEN BE THERE. Manake unakuta muuaji anaua mara 1, concious inamtisha tisha, then akikaza akaua mara 2, 3 anagundua CONSCIOUS IS A CAMOUFLAGE. Just his mind playing tricks on him.

Like i said MAYBE OR MAYBE NOT this is true.
Ndio maan nasema umechanganya vitu viwili tofauti. Consciousness and unconsciousness ni vitu viwili tofauti. Kitu kinachomfanya mtu awe na hofu ni baada ya physical thing to happen. Na inatokana na elimu aliyofundishwa kuwa kuua ni vibaya inamkumbusha. Na hiyo elimu imekaa kwenye mind(unconsciousness). Lakini consciousness ni internal power ambaya inaonekana dhahili katika ulimwengu wa damu na nyama ikiruhusiwa kutenda. Na ni njia moja tu kwa sasa iliyogunduliwa ya kuweza kuiaccess "Meditation"

Cosciousness inaongezwa na cosmic energy zinazovutwa na mtu wakati anafanya meditation. Hii kitu siyo may be ni real, dhahili na kweli.
 
Ndio maan nasema umechanganya vitu viwili tofauti. Consciousness and unconsciousness ni vitu viwili tofauti. Kitu kinachomfanya mtu awe na hofu ni baada ya physical thing to happen. Na inatokana na elimu aliyofundishwa kuwa kuua ni vibaya inamkumbusha. Na hiyo elimu imekaa kwenye mind(unconsciousness). Lakini consciousness ni internal power ambaya inaonekana dhahili katika ulimwengu wa damu na nyama ikiruhusiwa kutenda. Na ni njia moja tu kwa sasa iliyogunduliwa ya kuweza kuiaccess "Meditation"

Cosciousness inaongezwa na cosmic energy zinazovutwa na mtu wakati anafanya meditation. Hii kitu siyo may be ni real, dhahili na kweli.

mimi ni dadisi sana lakini nashindwa kumeditdte yan kutoka kwenye mawazo yangu na kuinhia kwenye ulimwengu huo wa conciousness nifanyeje?
 
sasa Annael wewe umetuambia watu tutumie consciousness zetu lakini very unfortunate hujaeleza ni jinsi gani mtu anaweza itumia siyo watu wote wanjua kwamba ni wakati gani anatumia consciousness yake au just unconsciousness hapo lara 1 tayari kashatoa yako ambayo ni completely distinct from your perspctive je wasio jua kutofautisha hizo feelings na consciousness itawezekana kweli. dont tell them what to do, tell them how to do.
 
mimi ni dadisi sana lakini nashindwa kumeditdte yan kutoka kwenye mawazo yangu na kuinhia kwenye ulimwengu huo wa conciousness nifanyeje?
Ni rahisi sana. Hiyo hali huwa ipo sana na hutokea tu. Hebu jaribu sikumoja weka headphone kwenye masikio yako, piga wimbo fulani wa taratibu. Fumba macho, kaa sehemu bila kuusumbua mwili wako. Acha pumzi itoke kawaida.
Inaweza ikakuchukua kama 15min mpaka 30 kuingia katika meditator state. Baada ya hapo utasikia mwili kama unakufa ganzi wewe usiondoke kwenye hali hiyo.

Baada ya hapo utaanza kuaccess consciousness yako.
 
Ndio maan nasema umechanganya vitu viwili tofauti. Consciousness and unconsciousness ni vitu viwili tofauti. Kitu kinachomfanya mtu awe na hofu ni baada ya physical thing to happen. Na inatokana na elimu aliyofundishwa kuwa kuua ni vibaya inamkumbusha. Na hiyo elimu imekaa kwenye mind(unconsciousness). Lakini consciousness ni internal power ambaya inaonekana dhahili katika ulimwengu wa damu na nyama ikiruhusiwa kutenda. Na ni njia moja tu kwa sasa iliyogunduliwa ya kuweza kuiaccess "Meditation"

Cosciousness inaongezwa na cosmic energy zinazovutwa na mtu wakati anafanya meditation. Hii kitu siyo may be ni real, dhahili na kweli.

Subiri kwanza. Kwani hio CONSCIOUS Kiswahili si ndo wanaita DHAMIRA ama? Asie uliza haambiwi maana.
 
sasa Annael wewe umetuambia watu tutumie consciousness zetu lakini very unfortunate hujaeleza ni jinsi gani mtu anaweza itumia siyo watu wote wanjua kwamba ni wakati gani anatumia consciousness yake au just unconsciousness hapo lara 1 tayari kashatoa yako ambayo ni completely distinct from your perspctive je wasio jua kutofautisha hizo feelings na consciousness itawezekana kweli. dont tell them what to do, tell them how to do.
Nimeeleza kuwa meditation ndio njia pekee ambayo inatusaidia kuwa karibu na consciousness zetu.
 
Subiri kwanza. Kwani hio CONSCIOUS Kiswahili si ndo wanaita DHAMIRA ama? Asie uliza haambiwi maana.
Hapana ni vigumu kuelezea kwa kiswahili lakini ninaweza kusema ni wewe katika hali ya kiroho au uhalisia wako.
 
haha kusema meditation pekee haitoshi bado unarudia kitu kilekile sema how a person anaweza meditate vinginevyo bado utatusaidia kidogo kama kweli hicho kitu kinasaidia.
 
Unapoamua kuandika kiswahili andika kiswahili tu usichanfanye lugha ndio maana muandikaji mwenyewe anachindwa kuelewa alichokiandika ikizingatia English is a second language kwa watanzania na sio lugha yeti ya kwanza hizo Masada nyingine waachie wenyewe wazungu wachangie msizilete hapa mnawachanganya with
haha kusema meditation pekee haitoshi bado unarudia kitu kilekile sema how a person anaweza meditate vinginevyo bado utatusaidia kidogo kama kweli hicho kitu kinasaidia.
 
Back
Top Bottom